Politics in never a reality.Utashangaa na unaweza Kum disqualify Obama kwa comments zake baada ya mchakato huu,keep my word It will be a suprise!!wana JF mimi najiuliza utakuwaje uhusiano wa JK na Obama baada ya uchaguzi.
Maana katika Afrika Obama amemsifia sana JK.
Naishi hapa America sijawai sikia Obama akimsifia Kikwete
Naishi hapa America sijawai sikia Obama akimsifia Kikwete
kukaa karibu na mahakama sio kujua sheria mjomba