Obama kama Raisi mstaafu Kikwete?

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,782
Raisi Obama wa USA anayemaliza muda wake, aliyebakiza kama wiki 3 tu madarakani, ameamua kwa kutumia muda wake huu mfupi uliobakia kuiwekea nchi ya Urusi vikwazo vya kiuchumi kwa kosa ambalo yeye Obama anasema nchi ya Urusi ililitenda kumsaidia D.Trump kushinda Uchaguzi wa nchi ya USA!

Sasa kilichonivutia na kunifanya nilete hapa ni ufanano wa Raisi wetu mstaafu Kikwete, ambaye alikuwa anafanya teuzi muda mchache kabla ya kuondoka madarakani, na hapa palijaa maneno ya kashfa na kejeli nyingi dhidi ya Mzee Kikwete na wengi kama ilivyo kawaida yao wakaanza kututukana Waafrika wote kwamba tuna low IQ, hatujui demokrasia ingawaje na wao pia ni Waaafrika na walienda mbali kabisa kusema Waafrika tumelaaniwa, sasa je USA nao wamelaaniwa? Kwa maana Raisi wao anafanya maamuzi kama vile Mzee Kikwete akiwa amebakiza wiki tatu tu?

Au kwa sababu ni USA ni Wazungu, basi mtawatetea na kuwatafutia sababu ili kuhalalisha na kumtofautisha na Mzee Kikwete?

85277993-600x400.jpg
 
Obama nae Si ni mwafrika tu yule.ana akili kama za wakenya wenzake tu na jirani zao watanzania
 
Hapo inaonyesha IQ ya obama ni very low na anafanya maamuzi ya kitoto. Kwa mfano swala la urusi Putini amemwambia atoe ushahidi ulio wa wazi na usio na shaka, ameshindwa sasa anafanya kukomoa. Urusi nayo ikijibu ndio mwanzo wa vita baridi. Jingine ni hili la Israeli maamuzi ambayo alitakiwa ayafanye mwaka wa kwanza akiwa ofisini ili apate muda mzuri wa kulishughulikia analifanya dakika za mwisho, hii inaonyesha ana chuki na Waisraeli na anasuport makundi ya kigaidi kama inavyoripotiwa na vyombo mbali mbali vya habari.
 
Hapo inaonyesha IQ ya obama ni very low na anafanya maamuzi ya kitoto. Kwa mfano swala la urusi Putini amemwambia atoe ushahidi ulio wa wazi na usio na shaka, ameshindwa sasa anafanya kukomoa. Urusi nayo ikijibu ndio mwanzo wa vita baridi. Jingine ni hili la Israeli maamuzi ambayo alitakiwa ayafanye mwaka wa kwanza akiwa ofisini ili apate muda mzuri wa kulishughulikia analifanya dakika za mwisho, hii inaonyesha ana chuki na Waisraeli na anasuport makundi ya kigaidi kama inavyoripotiwa na vyombo mbali mbali vya habari.
la Israel lipi mkuu?
 
Hapo inaonyesha IQ ya obama ni very low na anafanya maamuzi ya kitoto. Kwa mfano swala la urusi Putini amemwambia atoe ushahidi ulio wa wazi na usio na shaka, ameshindwa sasa anafanya kukomoa. Urusi nayo ikijibu ndio mwanzo wa vita baridi. Jingine ni hili la Israeli maamuzi ambayo alitakiwa ayafanye mwaka wa kwanza akiwa ofisini ili apate muda mzuri wa kulishughulikia analifanya dakika za mwisho, hii inaonyesha ana chuki na Waisraeli na anasuport makundi ya kigaidi kama inavyoripotiwa na vyombo mbali mbali vya habari.
Kwa kila hali Trump ni mfuasi mzuri wa Russia,
Azimio la UN kusitishwa kwa vikwazo kwa Wa Israel Obama hakuanza nalo mwaka huu,msimamo na mtazamo wa Obama juu ya mgogoro wa Palasttine na Israle ulikuwa neutral na wa Kiliberali unaoendana na Dunia ya leo na ulisaidia kupunguza vifo vya watu wasio na hatia pande zote. Trump ni conservative, mtazamo wake unaendana na ule wa Israel (wa kiimani) unaoamini juu ya historia ya kale unaoshawishi Israel kutumia nguvu nyingi kupora maeneo ya Wapalestina na hivyo kusababisha mgongano mara mara
 
Rais wa Nchi una wajibu wakutekeleza Majukumu yako yote ya Urais mpaka pale atakapokula Kiapo Rais Mpya. Hata ku declare Vita unaweza kutangaza Dakika moja kabla ya kukabidhi Madaraka.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom