Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,324
- 5,934
Kuinua uchumi ni wajibu wake na haitakiwi hiyo kuwa sababu ya kufanya anavyotaka ikiwa pamoja na kugeuka dikteta.
Asilimia kubwa ya wakristo humu mnamsema vibaya Gadafi, kulikoni?
Kuinua uchumi ni wajibu wake na haitakiwi hiyo kuwa sababu ya kufanya anavyotaka ikiwa pamoja na kugeuka dikteta.
Tatizo lako unaegemea sana dini kila linapokuja swala la kimataifa. Swali ulilotakiwa kuniuliza ni kuthibitisha ninachosema na sio kuniweka kwenye mawazo ya kidini.Asilimia kubwa ya wakristo humu mnamsema vibaya Gadafi, kulikoni?
Tatizo lako unaegemea sana dini kila linapokuja swala la kimataifa. Swali ulilotakiwa kuniuliza ni kuthibitisha ninachosema na sio kuniweka kwenye mawazo ya kidini.
Tayari una jibu lako mkononi umelitanguliza. Kuhusu udini wananchi wa Libya walioingia barabarani kupambana na Gadafi walikuwa dini gani?Udini unawasumbua
Ebu thibitisha basi kama yeye ni dikteta kweli?
Tayari una jibu lako mkononi umelitanguliza. Kuhusu udini wananchi wa Libya walioingia barabarani kupambana na Gadafi walikuwa dini gani?
So kama ametuma? Gadaffi huyo huyo kafanya Investment kibao, kigamboni bahari Beach kakujenga, kaleta misaada kibao Tanzania, je kwanini hamjaikataa?unampenda mtu aliyetuma wanajeshi waje washambulie nchi yako? una akili ziko sawa kweli? au kwasababu......
AiseeeeHata kucopy tu umeshindwa utaweza kumuelezea Obama umeandika ujinga sana. Nawe jioni unaomba kuona home work ya watoto wako.
Ghadafi amekujengea nini kigamboni wewe kipofu? misaada gani ameileta? unajua bahari beach aliinyang'anya kwasababu alikuwa anatudai hivyo hotel ile nimali ya nchi ya Libya? eti kibao kibao sijui huwa mnanyang'anywa akili?So kama ametuma? Gadaffi huyo huyo kafanya Investment kibao, kigamboni bahari Beach kakujenga, kaleta misaada kibao Tanzania, je kwanini hamjaikataa?
Ndio ni Mali ya Libya na walijenga akiwa yeye raisi, so wakifanya zuri Libya wameifanya, wakifanya Baya Gadafi kafanya.Ghadafi amekujengea nini kigamboni wewe kipofu? misaada gani ameileta? unajua bahari beach aliinyang'anya kwasababu alikuwa anatudai hivyo hotel ile nimali ya nchi ya Libya? eti kibao kibao sijui huwa mnanyang'anywa akili?
Obama aliingia huo mtego mpaka kesho anajuta na aliwahi zungumza kuwa alifanya kosa kubwa sana.
Unaposema kwako wewe hakuwa na faida ulitaka akujengee nyumba au kukupa msingi ufanye biashara? sema wewe umeamua kumtizama kwa tofauti za kiimani.Gadafi huyohuyo ndio alituma wanajeshi wake kumsaidia iddi amini dhidi ya Tanzania, kwasababu tu nduli alikuwa mtu wa dini yake. Gadafi huyohuyo sehemu zote alizokuwa anasaidia nia yake kuu ilikuwa kusambaza dini yake. kwangu mimi hakuwa na faida yeyote hapa duniani.