Obama, Hillary Clinton, pamoja na vyombo vyao vya habari Walikua wanamchukulia Gaddafi alikuwa dikteta

unampenda mtu aliyetuma wanajeshi waje washambulie nchi yako? una akili ziko sawa kweli? au kwasababu......
So kama ametuma? Gadaffi huyo huyo kafanya Investment kibao, kigamboni bahari Beach kakujenga, kaleta misaada kibao Tanzania, je kwanini hamjaikataa?
 
So kama ametuma? Gadaffi huyo huyo kafanya Investment kibao, kigamboni bahari Beach kakujenga, kaleta misaada kibao Tanzania, je kwanini hamjaikataa?
Ghadafi amekujengea nini kigamboni wewe kipofu? misaada gani ameileta? unajua bahari beach aliinyang'anya kwasababu alikuwa anatudai hivyo hotel ile nimali ya nchi ya Libya? eti kibao kibao sijui huwa mnanyang'anywa akili?
 
Ghadafi amekujengea nini kigamboni wewe kipofu? misaada gani ameileta? unajua bahari beach aliinyang'anya kwasababu alikuwa anatudai hivyo hotel ile nimali ya nchi ya Libya? eti kibao kibao sijui huwa mnanyang'anywa akili?
Ndio ni Mali ya Libya na walijenga akiwa yeye raisi, so wakifanya zuri Libya wameifanya, wakifanya Baya Gadafi kafanya.
 
Gadafi huyohuyo ndio alituma wanajeshi wake kumsaidia iddi amini dhidi ya Tanzania, kwasababu tu nduli alikuwa mtu wa dini yake. Gadafi huyohuyo sehemu zote alizokuwa anasaidia nia yake kuu ilikuwa kusambaza dini yake. kwangu mimi hakuwa na faida yeyote hapa duniani.
Unaposema kwako wewe hakuwa na faida ulitaka akujengee nyumba au kukupa msingi ufanye biashara? sema wewe umeamua kumtizama kwa tofauti za kiimani.
 
Back
Top Bottom