Obama: Gaddafi death is warning to iron-fist rulers

hata gadafi angetawala mwaka mmoja tu still lazima angepata watu wakumchukia pia.
Gaddafi alikua na wakati mzuri wa kuweka mambo Sawa pale Libya then akastaafu huku akila pension yake taratibu Kama akina Nelson Mandela. Sema ndio hivyo madaraka matam
 
kwani gadafi kajiweja mwenyewe. katiba yao na sheria ndio imemfanya gadafi awe pale ila wazungu ndio hawakumtaka
Katiba yao inasemaje kuhusu mamlaka ya Gaddafi?

Sheria zao zinasemaje kuhusu mamlaka ya Gaddafi?

Tufanye upembuzi yakinifu.
 
Demokrasia ndo kila kitu, Gaddafi anapashwa kubeba lawama kwa kutoruhusu demokrasia.
Demokrasia kila mtu ana definition yake,usilazimishe eti mkiwa na demokrasia mnakuwa na maendeleo.China yule pale hana demokrasia lakini uchumi wake umekuwa kwa kasi mpaka kuwa ya pili duniani.

Ghadafi kabla ya kufa raia wake walikuwa na maisha mazuri kuliko raia wa nchi yoyote ya Africa,kwa ujinga wao wameziruhusi nchi za magharibi ziwagombanishe,sasa wana uhuru wa kuongea,lkn hawana amani na nchi za Ulaya baada ya kuivuruga Libya zimekaa kimya.

Nchi imekuwa kama kitongoji cha kambale mtoto ndefu,baba ndefu na mama ndefu,hamna wa kumkemea mwenzie kwa kifupi wakulaumiwa Libya ni USA,France ,sifikiri kuiona Libya ikiwa na amani.

Huyo Obama mwenyewe alikiri hamna kosa kubwa alilolifanya kama kumuua Ghadafi.Hamna sehemu ambayo US imegusa baada ya hapo ikabaki salama haipo refer Afighanstan,Iraq,Yemen,Pakstan kote huko hamna amani.Sasa hivi ICC wanafanya uchunguzi wa kuwafungulia mashataka wanajeshi wa US walioua raia wasio kuwa na hatia Afighanstan,US kwa ubabe wake amewaambia hamna askari yoyote atakaye hukumiwa na ICC na mali zao zilizokuwa US wamezishikilia.Sasa jiulize Libya,Iraq,Yemen,Pakstan waliua raia wangapi wasio na hatia,wao wanajua kubomoa hawajui kujenga .
 
Demokrasia kila mtu ana definition yake,usilazimishe eti mkiwa na demokrasia mnakuwa na maendeleo.China yule pale hana demokrasia lakini uchumi wake umekuwa kwa kasi mpaka kuwa ya pili duniani.

Ghadafi kabla ya kufa raia wake walikuwa na maisha mazuri kuliko raia wa nchi yoyote ya Africa,kwa ujinga wao wameziruhusi nchi za magharibi ziwagombanishe,sasa wana uhuru wa kuongea,lkn hawana amani na nchi za Ulaya baada ya kuivuruga Libya zimekaa kimya.

Nchi imekuwa kama kitongoji cha kambale mtoto ndefu,baba ndefu na mama ndefu,hamna wa kumkemea mwenzie kwa kifupi wakulaumiwa Libya ni USA,France ,sifikiri kuiona Libya ikiwa na amani.

Huyo Obama mwenyewe alikiri hamna kosa kubwa alilolifanya kama kumuua Ghadafi.Hamna sehemu ambayo US imegusa baada ya hapo ikabaki salama haipo refer Afighanstan,Iraq,Yemen,Pakstan kote huko hamna amani.Sasa hivi ICC wanafanya uchunguzi wa kuwafungulia mashataka wanajeshi wa US walioua raia wasio kuwa na hatia Afighanstan,US kwa ubabe wake amewaambia hamna askari yoyote atakaye hukumiwa na ICC na mali zao zilizokuwa US wamezishikilia.Sasa jiulize Libya,Iraq,Yemen,Pakstan waliua raia wangapi wasio na hatia,wao wanajua kubomoa hawajui kujenga .


Siasa ya China unaifitiliaga , watu wanaandamana lkn wanauliwa kwaiyo China wao huwez kufahamu taarifa zao kwa kuwa waahide information.
 
Siasa ya China unaifitiliaga , watu wanaandamana lkn wanauliwa kwaiyo China wao huwez kufahamu taarifa zao kwa kuwa waahide information.
Tatizo kuhide information au kupiga hatua za kiuchumi kama taifa,watu wanataka maendeleo na si blah blah za kisiasa.
 
Hana mamlaka! Yupo pale kama sehemu ya utamaduni wa waingereza. Mbona Japan kuna mfalme lakini waziri mkuu ndio mwenye mamlaka
Anachaguliwa nanani kuwepo pale alipo yamamlaka wala sitaki kuyajua nnachotaka kuyajua anachaguliwa nanani naje unahisi hakuna mwengine anayoyataka hayo anayoyapata yeye bila kua namamalaka nakwanini asichaguliwe ajieke tu ?!
 
Kwamba mwisho wa udikteta sio mzuri. Ukitawala kwa mkono wa chuma iko siku wananchi watachoka na kukutoa madarakani kwa nguvu
Hata VENEZUELA hakuna mkono wachuma mnao udai ila hao wapuuzi wa US hawaachi kumsumbua MADURO.....
 
Siasa ya China unaifitiliaga , watu wanaandamana lkn wanauliwa kwaiyo China wao huwez kufahamu taarifa zao kwa kuwa waahide information.
Wameandamana wapi na wanaandamana sababu ya nini ?!

Wanapo andamana hongkong lipo wazi na wanaloandamania linajulikana


US mbna wanauliwa bila kuandamana hamsemi ?!
 
Swali hilo lijibiwe mara ngapi?

Nimesema, usiwe mvivu wa kusoma, tafuta maarifa!
Maarifa mnayoyaweka kwamaslahi yenu(wamagharibi) yakiwa hayaendani namaslahi yao yanakengeukwa

Udikteta wa UK wazamani sana mpaka sasa hujanambia nasitegemei kama utanambia MALKIA anakaa madarakani kwakuchaguliwa nanani nakwademokrasia ipi miaka 40 hang'atuki madarakani wengine wakikaa nongwa
 
Maarifa mnayoyaweka kwamaslahi yenu(wamagharibi) yakiwa hayaendani namaslahi yao yanakengeukwa

Udikteta wa UK wazamani sana mpaka sasa hujanambia nasitegemei kama utanambia MALKIA anakaa madarakani kwakuchaguliwa nanani nakwademokrasia ipi miaka 40 hang'atuki madarakani wengine wakikaa nongwa
Swali hilo limekwisha jibiwa na kama hukuyaelewa majibu uliyopewa hilo ni suala jingine kabisa.

Soma kwa makini majibu uliyopewa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom