Obama: Gaddafi death is warning to iron-fist rulers

Inawezekana walidanganywa lakini kwa njia moja ama nyingine Gaddafi aliyataka mwenyewe. Nasisitiza hakusoma alama za nyakati. Zama zake zilifika ukingoni.
Na hili si kosa lake tu bali ni kosa la viongozi wengi wakishalewa madaraka wanadhani wao ni miungu watu hamna mtu wa kuwagusa. Hawajifunzi tu.
Omar Al bashir wa Sudani is another example.
Mugabe wa Zimbabwe ameshikilia madaraka mpaka jeshi likamlazimisha ajiuzulu.
Usimsahau na Elizabeth
 
You’re certified idiot. Malkia wa Uingereza ni ceremonial leader hana mamlaka kiutawala.
Mwenye mamlaka ya ni Prime minister
ficha ujinga wako kwenye platform kama hizi. hivi ndivyo mnavyozibwa macho na nyinyi mnakuwa wajinga. why should she be there in the first place. yule anashirikishwa kwenye mambo mengi tu ya kiutawala kama hujui jabu sauti yake haitangazwi
 
hayo yanafanywa mpaka leo na missionaries, na watu bado wana uhuru wa kuchagua, kama unahisi umaskini wako ndio unakupeleka kule usipokutaka thats your problem
Hakushika bunduki ila alianza kupenyeza ajenda mdogo mdogo. Alitumia nguvu yake ya uchumi pamoja na ushawishi wake kupenyeza ajenda zake. Na alikua ameshaanza kuwashika baadhi ya viongozi wa kiafrica
 
Kuhusu Gaddafi, Walibya wenyewe walikwisha mkataa, walilionesha hilo kwa vitendo; mataifa ya magharibi yalitumia hilo kama justification.

Kutokuwepo ama kukosekana kwa mfumo bora wa kupokezana madaraka kumeifanya Libya kuwa hivi hii leo. Pana funzo kubwa sana hapo kwa mataifa mengine hususani barani Afrika.

Kilichopo hivi sasa nchini Libya hakimaanishi kuwa Gaddafi alikuwa bora, la hasha! In fact kilichopo hivi sasa ni kutokana na misingi mibovu ya uliokuwa utawala wa Gaddafi. Libyans are paying the price now!

Mnaosema Obama ameomba radhi sidhani kama mpo sahihi. Alichokisema Obama ni kwamba, hakukuwa na mipango bora baada ya kumuondoa Gaddafi. Obama hakupingana na ile intervention.

Obama alizungumzia aftermath ya ile intervention kwa maana ya kwamba baada ya kuondolewa kwa Gaddafi ni nini kilitakiwa kifanyike kama mpango bora ambao ungeiwezesha Libya kutawalika bila Gaddafi.
Pana funzo kubwa funzo lipi ?!
 
Watu weusi mbaka Leo huko Marekani wanabaguliwa na kunyanyaswa na vyombo vya sheria, vipi hayo sio matumizi mabaya ya madaraka ?.
Hicho ni kitu kingine kabisa, ukatili wa polisi (police brutality).

Isitoshe sijazungumzia "matumizi mabaya ya madaraka", la hasha! Nimezungumzia udikteta.
 
kwani bila ya wao unadhani hayo yote yengefanyika? alafu ngoja nikuulize swali kwani uingereza waingereza wote wanampenda malkia, au putin anapendwa na warussia wote au JPM anapendwa na watz wote.
Kwa hiyo wazungu ndio walienda kumtoa mtaroni na kumshindilia risasi sio?!
 
kwani gadafi kajiweja mwenyewe. katiba yao na sheria ndio imemfanya gadafi awe pale ila wazungu ndio hawakumtaka
Ni kweli wazungu walikua wanamlia timing siku mingi ila na yeye alibugi kutawala muda mrefu. Hakusoma alama za nyakati
 
kwani bila ya wao unadhani hayo yote yengefanyika? alafu ngoja nikuulize swali kwani uingereza waingereza wote wanampenda malkia, au putin anapendwa na warussia wote au JPM anapendwa na watz wote.
Yule alikua ameshachokwa ndio maana alipouliwa watu walijazana mtaani kushangilia. Hawakua wazungu bali ni vijana wa kiarabu tena wa nchi yake. Hakuna cha mercenaries wala nini
 
Back
Top Bottom