Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Juzi Raisi wa USA Obama alikuwa Ulaya kama safari yake mwisho na aliwaaga Wazungu, leo hii yuko Lima pia kwa lengo hilo hilo la kuwaaga Waasia na Wamrekani Kusini, akiwa Raisi wa USA, Je vipi sisi Waafrika tuliosherehekea klk binadamu yoyote yule Dunia hii kuapishwa kwake mpaka tumempa jina la Barabara yetu mashuhuri? Wakenya mpka walipumzika siku Obama anaapishwa kusherehekea, katusahau au?
Au ndiyo yale yale akishatoka kwenye Uraisi anaanzisha NGO ya kitapeli kama Clinton foundation na kuanza kuja Afrika kutibu funza?
Kweli Muafrika ni Mutoto wa Muzungu!
Obama akiwa Ulaya Ujerumani, kuwaaga Wazungu!
Obama akiwa Lima kwenye Mkutano wa Asia Pacific na kuwaaga watu wa Asia na Marekani Kusini!
Au ndiyo yale yale akishatoka kwenye Uraisi anaanzisha NGO ya kitapeli kama Clinton foundation na kuanza kuja Afrika kutibu funza?
Kweli Muafrika ni Mutoto wa Muzungu!
Obama akiwa Ulaya Ujerumani, kuwaaga Wazungu!
Obama akiwa Lima kwenye Mkutano wa Asia Pacific na kuwaaga watu wa Asia na Marekani Kusini!