KunjyGroup
JF-Expert Member
- Dec 7, 2009
- 352
- 26
Obama amemwambia rais Bagbo kwamba akubali alishindwa kwa mpinzan wake na aachie madaraka.
Kwanin Obama hakumwambie JK kwamba ameshindwa na amuachie Slaa nchi?
Kama mnakumbuka mmoja wapo wa ahadi za Obama kwa Afrika, ilikuwa ni kushugulikia marais ving'ang'anizi wanaoiba kura. Mbona he's not stood by his words? Ahadi ni deni
Kwanin Obama hakumwambie JK kwamba ameshindwa na amuachie Slaa nchi?
Kama mnakumbuka mmoja wapo wa ahadi za Obama kwa Afrika, ilikuwa ni kushugulikia marais ving'ang'anizi wanaoiba kura. Mbona he's not stood by his words? Ahadi ni deni