sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,026
Yani kilichotokea hapa ni kama vile ex wa mke wako anakuja nyumbani, anapewa attention kubwa kuzidi wewe, atachinjiwa kuku, watoto wanamwita baba, duuhh!!
Dah hadi huruma, hapa Biden amekosa wa kuongea nae alafu anageuka anamcheki Obama ana kundi la watu wamejazana kwake...Biden anamcheki Obama huku amejawa hasira na wivu halafu wanapiga mziki wa huzuni Kwa nyuma
Biden anaamua kumfata nyuma Obama na kumshika bega lakini Obama hata hageuki kumsikiliza Biden ambae ni raisi, Hapa Obama kafanya maksudi kabisa kutoa ujumbe kwa Biden kwamba yeye ndie yupo in charge.
Hapa kamtania Biden ni Vice President ila ni kijembe kabisa hiki ukitazama Biden alivyohaha katika hii hafla.
Dah hadi huruma, hapa Biden amekosa wa kuongea nae alafu anageuka anamcheki Obama ana kundi la watu wamejazana kwake...Biden anamcheki Obama huku amejawa hasira na wivu halafu wanapiga mziki wa huzuni Kwa nyuma
Biden anaamua kumfata nyuma Obama na kumshika bega lakini Obama hata hageuki kumsikiliza Biden ambae ni raisi, Hapa Obama kafanya maksudi kabisa kutoa ujumbe kwa Biden kwamba yeye ndie yupo in charge.
Hapa kamtania Biden ni Vice President ila ni kijembe kabisa hiki ukitazama Biden alivyohaha katika hii hafla.