Obama ampongeza Biden kwa kushinda Urais

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,000
9,862
Aliyewahi kuwa Rais wa Marekani, Barack Obama amempongeza Joe Biden kwa kushinda Urais mwaka huu dhidi ya mpinzani wake Donald Trump

Katika taarifa yake amesema kwa mara ya kwanza mwaka huu wamarekani wamejitokeza kwa wingi kupiga kura. Aidha kila kura ilihesabiwa na kumfanya Biden ashinde kwa kishindo

Anatarajia Joe Biden atafanya vitu ambavyo vitawanufaisha wamarekani hata wasio mpigia kura. Amewataka watu wote kuonesha ushirikiano ili kuepuka mpasuko kama taifa
1604775918613.png
 

1604777081665.png


Celebration: This was the scene in New York's Alphabet City as celebrations began in blue states and cities

1604777156558.png


The fight goes on: In Lansing, Michigan, pro-Trump protesters were demonstrating outside the state capitol. They want to overturn Biden's majority by claiming - without evidence - massive fraud​
 
''Donald Trump Jr., who earlier in the week told his father to 'fight until the death' and urged their fans not to give up at a rally, posted a photograph of the pair on Instagram in the Oval Office, which he captioned: 'Thanks for always fighting so hard for America dad, it's an honor to be in that fight with you.' ''
 
Kule korea kwa shost ake trump hali ikoje eti nae anasherekea au kaumia kukosa mpinzani wakumshtua shtua?
 
At last US citizens Have Said a BIG NO to Hon.Trump.....

They have reminded their liberty through casting their legal ballots all over the nation so as to restore THE VERY FOUNDATION OF THEIR LIBERTY ....DEMOCRACY...and the rule of law per constituitional Maxima.....

The President- Elect Hon.Joe Biden once again thanked the 45 President Hon.Obama for his willingness of bringing a unified nation than what his successor Hon.Trump did the OPPOSITE of what was expected.....

The President-elect,Joe Biden reminded his folks the wisdom words given to him by his grandmother that Joe,Spread the FAITH ......


Muuza Al Kasus
Tandale kwa Mtogole
 
Back
Top Bottom