emmanuel mhecha
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 933
- 541
Nimeshangaa wakuu Obama anapita kila kona ya Marekani kuwaaminisha wamerekani na kutaka kufuatilia ile issue ya udukuzi wa uchaguzi, ikumbukwe wote yeye na yule mama walimpongeza Trump kwa ushindi mzuri.
Je, hawajiamini?
Je, hawajiamini?