CLONEY
Senior Member
- Apr 3, 2012
- 104
- 29
Obama sees 'clear path' to end Afghan mission - Central & South Asia - Al Jazeera English
alqaeda wakiwa wanakumbuka kifo cha kiongozi wao obama nae awasili huko sijui kwanini kachagua siku hii?
Jamaa huyu huwa nampenda sana ukiangalia hata hiyo video utaona jinsi gani hao askari wanavyofarijika ka kutembelewa na mkuu wa nchi kama hivyo kwani inatia moyo na inawapa ari ya kufanya kazi.
alqaeda wakiwa wanakumbuka kifo cha kiongozi wao obama nae awasili huko sijui kwanini kachagua siku hii?
Jamaa huyu huwa nampenda sana ukiangalia hata hiyo video utaona jinsi gani hao askari wanavyofarijika ka kutembelewa na mkuu wa nchi kama hivyo kwani inatia moyo na inawapa ari ya kufanya kazi.