Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
Hapa ndo tutaanza kupata picha ya ile nchi jinsi ilivyooza!-
Nchi au baadhi ya watu!!!!!!
Hapa ndo tutaanza kupata picha ya ile nchi jinsi ilivyooza!-
this is very true Mr/Ms Rungu. hawa jamaa don't care if ur straight or gay. kuprove hii, hebu nenda kwenye yahoo news hasa ile habari moja kuhusu hiyo policy ya dont ask dont tell ambapo kuna mwanajeshi anaconfess kwa baba yake mzazi kuwa yeye ni gay, halafu andika kitu chochote negative about gays. i guarantee you utapokea THUMBS DOWN za kufa mtu.Nah, I don't trust you. Yes, the American society is comparatively "conservative", but what about the gays in California, for example, or the don't ask don't tell policy in the military?
Duhu!!
hiki ni kiswahili chakachuzi
Wamuulize Buju Banton ambaye aliwaimba machoko vibaya hivi sasa yuko wapi. Ameshafiksiwa na kushikishwa mihadarati na sasa ameswekwa lupango. Machoko wana nguvu sana, zaidi ya wengi wanavyofikiria. Hiyo hata Obama mwenyewe anaijua na jana tu alitaja haki zao kwenye risala yake kwenye Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa!this is very true Mr/Ms Rungu. hawa jamaa don't care if ur straight or gay. kuprove hii, hebu nenda kwenye yahoo news hasa ile habari moja kuhusu hiyo policy ya dont ask dont tell ambapo kuna mwanajeshi anaconfess kwa baba yake mzazi kuwa yeye ni gay, halafu andika kitu chochote negative about gays. i guarantee you utapokea THUMBS DOWN za kufa mtu.