Obama accused of being gay!

CCM mnapokea msaada wa suti iweje leo uwashangae CDM wanaopokea msaada wa kuwatumikia watanzania wenye hali duni?Kweli nyani haoni kundule
 
Nah, I don't trust you. Yes, the American society is comparatively "conservative", but what about the gays in California, for example, or the don't ask don't tell policy in the military?
this is very true Mr/Ms Rungu. hawa jamaa don't care if ur straight or gay. kuprove hii, hebu nenda kwenye yahoo news hasa ile habari moja kuhusu hiyo policy ya dont ask dont tell ambapo kuna mwanajeshi anaconfess kwa baba yake mzazi kuwa yeye ni gay, halafu andika kitu chochote negative about gays. i guarantee you utapokea THUMBS DOWN za kufa mtu.
 
this is very true Mr/Ms Rungu. hawa jamaa don't care if ur straight or gay. kuprove hii, hebu nenda kwenye yahoo news hasa ile habari moja kuhusu hiyo policy ya dont ask dont tell ambapo kuna mwanajeshi anaconfess kwa baba yake mzazi kuwa yeye ni gay, halafu andika kitu chochote negative about gays. i guarantee you utapokea THUMBS DOWN za kufa mtu.
Wamuulize Buju Banton ambaye aliwaimba machoko vibaya hivi sasa yuko wapi. Ameshafiksiwa na kushikishwa mihadarati na sasa ameswekwa lupango. Machoko wana nguvu sana, zaidi ya wengi wanavyofikiria. Hiyo hata Obama mwenyewe anaijua na jana tu alitaja haki zao kwenye risala yake kwenye Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa!
 
Back
Top Bottom