BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,009
Wamemtafuta mpaka wamempata duh!!
Aliyataka mwenyewe! Baada ya kuponea chupuchupu katika ile kesi ngumu ya mauaji alitakiwa atulie kama maji ya mtungi lakini wapi, akawa anafanya vioja karibu kila wiki na jamaa walikuwa wanamfuatilia nyendo zake kwa karibu tu hatimaye wamempata. Hiyo miaka 15 sijui kama ataimaliza kabla ya kufia kifungoni.