Naomba kusaidiwa nahisi kama mapigo na melod ya wimbo huu nimeusikia kabla, nilikuwa nahisi ni wa Oliver Mtukudzi wa Zimbabwe vile??? Hivi wandugu nyie wenzangu mmesikia kwa mara ya kwanza haya mapigo kwa Banana, Labda nimekosea lakini I have strong feeling nimewahi ku-usikia sehemu.
Surely a sweet song and sweet melodies.
Inanikumbusha mdogo wangu wa kike akiitwa Sela ambaye alidangayika kama stori ya Nzela!
Inanitia simanzi jinsi familia inavyopata taabu kumrudisha dada yao liyepotea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.