Nzega: Rais Magufuli asema Demokrasia imeimarika sana nchini ndio maana wengine walijitoa kwenye uchaguzi, wengine wakashinda na kushindwa

Rais alimjibu ...watu wafanye kazi waache kulialia tupo kwenye lait tlack'!
Na ameahidi kuwa ...na bado Hali itakuwa ngumu zaidi!
Pia alimfanwnisha Jamaa na Mtemi Change...akasema labda Mzee Change alishawahi pata usingizi pale Igunga:p:D:p:D:p:D
 
Hilo swali magufuli amelijibu huku anawayawaya limempiga vibaya
Halafu raia wamemshangilia mno jamaa. Mkuu ajitafakari
 
Kuwapora wengine haki ya kufanya siasa, kutoa mawazo mbadala na kutembea juu ya sheria ya nchi na katiba nayo ni demokrasia
 
Hilo swali magufuli amelijibu huku anawayawaya limempiga vibaya
Halafu raia wamemshangilia mno jamaa. Mkuu ajitafakari
Anaishia kusema tulime matikiti, hivyi yule mzee anayajua matikiti au anaropoka tu kwakua maiki ameshika yeye??? Kwanza kula hayo matikiti ni starehe Pia..... Watu hawana pesa ya unga hata kula kwa mlo mmoja atanunua tikitiki ajaze Maji tumboni??
 
Mheshimiwa Rais napenda nikukumbushe jambo.Amani huwa HAILINDWI bali HUJENGWA.Tena hujengwa juu ya nguzo madhubuti iitwayo HAKI.Ikiondoka haki na DHULMA kushika hatamu,hapo amani hupotea yenyewe kama moshi unavyopotea kwenye upepo mkali.
 
Nakubaliana na Raisi kujitoa pia Ni haki ya kidemokrasia ya mgombea.Tanzania Demokrasia iko juu Sana inaruhusu mtu kujitoa
 
Nakubaliana na Raisi kujitoa pia Ni haki ya kidemokrasia ya mgombea.Tanzania Demokrasia iko juu Sana inaruhusu mtu kujitoa

Sasa kwa vile kujitoa kwenye uchaguzi ni demokrasia basi isije kutungiwa sheria ya kuharakisha!
 
kina nani hao walijitoa? mbona jafo ametoa matokeo ya vyama vyote?

lost and gone.
Waupinzani waendelee kuchapa kazi wakivuliwa uanachama ni haki yao kwenda Mahakamani kupigania haki yao yakuchaguliwa. Mbona wabunge wanakwendaga Mahakamani kubakia kwenye majimbo? Hapo patamu!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom