Utunzaji wa nywele za asili

Hapana kabla sijazi treat sizioshi, na asubuhi yake naziosha na sabuni ya kipande na kupaka mafuta. Pia Kila asubuhi na jioni nazi spray maji kuziweka moist...

While day everyday my hair stays healthy and I smile for that.

K' Matata.
Thanks Sisy Kasie
 
Nnatumia nazi asilia, naikuna kwenye mbuzi kupata machicha ya nazi, kisha nachukua kitambaa laini au butter cloth au material kama stiff (kuna mifuko imetoka saa hizi iko kama kitamaa flani transparent) hiyo ndo natumia kuichuja. Naweka yale machicha ya nazi niliyoikuna kwenye hicho kitambaa kisha naikamua kwenye kibakuli, inatoka juisi ya nazi kama ilivyo bila kutia maji.

Laah yale machicha unaweza kuyachuja na mkono ila uwe makini machicha yasipite kwenye tui ili ukipaka kichwani machicha yasinate kwenye nywele.

kisha tui unaliweka kwenye kichupa cha kuspray na unaji spray kwenye nywele kisha unavaa kofia ya plastic na kufunga kilemba na kulala usiku mzima au kama umefanya hili zoezi asubuhi unaweza ukawa na shughuli zako kutwa nzima kisha mchana ukaziosha.

Mie napenda kufanya usiku sababu nasave muda wa kufanya mambo yangu mchana. Na usiku kama nikitokea nimepata mtoko, nafunga boonge la lemba hakuna atayejua kuwa ndani nimepaka mavitu kwenye nywele.

That's all.
Waooh asante sana
 
Unatakiwa ujifunze style mbalimbali ambazo unajitengeneza mwenyewe na zinakaa wiki nzima.

View attachment 974732

That's Kasie with flat twist style for one week.
Hii huwa nasuka, nazurura nazo, nikajua ni style ya kubana, cz my dada anajibanaga mwenyew sasa mm ndio siwez kabisa,
Minyoosho hii naisuka kwa mbwembwe zote yan.
 
Ukikazana kujifunza utaweza tuu, mwanzo mgumu.

nimependa hizo DIY za deep conditioner unazotumia. hapo kwenye ndizi umefanyaje dada na mimi nina natural hair nyingi sasa niliwahi kusaga ndizi nikamix na asali jamani nilipata shida kuitoa kwenye kuosha zinabaki chenga chenga za ndizi.
halafu kingine je nywele yako ni low au high porosity hii ni changamoto pia kwa natural hair.
 
nimependa hizo DIY za deep conditioner unazotumia. hapo kwenye ndizi umefanyaje dada na mimi nina natural hair nyingi sasa niliwahi kusaga ndizi nikamix na asali jamani nilipata shida kuitoa kwenye kuosha zinabaki chenga chenga za ndizi.
halafu kingine je nywele yako ni low au high porosity hii ni changamoto pia kwa natural hair.

Ndizi ukisaga kwenye blender haiachi particles kwenye nywele na mie nimeitumia sana.

Nywele yangu iko medium not high not low.... Ila madikodiko yanaifanya izidi kujaa na kurefuka na kung'aa. Pia imepunguza kiwango cha kukatika kwa nywele na kupelekea kurefuka na kujaa.
 
Huwa sina formula ila nilishaacha kutumia shampoo, naosha nywele na sabuni ya kipande haswa jamaa.

Chakula nnachokilisha nywele zangu Kila ijumaa ni tui la nazi bila kulichanganya na maji. Siku nyingine ndizi mbivu na mtindi, siku nyingine parachichi na mtindi na olive oil, siku nyingine juice ya carrot na maji ya mchele, au maji ya mchele uliolowekwa kwa siku 5 au juisi ya kitunguu maji peke yake na siku nyingine nachanganya kitunguu maji na tangawizi nachuja juisi yake.

Vyote hivi sichanganyi na maji na nikipaka usiku nalala nimefunga nywele na kofia ya plastic asubuhi naziosha na kuzipaka hair butter na hair cream (Haya mafuta ya dukani) kisha naweka protective style mwenyewe ya wiki nzima.

Nshasahau kadhia za wasusi zaidi ya mwaka sasa na nywele zangu zinarefuka kila leo.

Pamoja na kurefuka wengi tuu wameshaniambia, Kasie una asili ya kisomali au kimanga wewe, hizi nywele zote ni zako mbona zina waves kama za kisomali wakati wewe ni mmatumbi wa kinyamwezi..... Basi Mie nacheka tuu hehehehee.

Kasie Manywele.
Wooow.. Nimeipenda hii.. Nitaanza kuifanya Kwa my little princess... Thanks for sharing Kasie manywele.. Hahaha mwanangu pia namtaniaga baby manywele maana si kwa manywele aliyonayo
 
My gal'z hair..
IMG_20181227_194427.jpg
 
Huwa sina formula ila nilishaacha kutumia shampoo, naosha nywele na sabuni ya kipande haswa jamaa.

Chakula nnachokilisha nywele zangu Kila ijumaa ni tui la nazi bila kulichanganya na maji. Siku nyingine ndizi mbivu na mtindi, siku nyingine parachichi na mtindi na olive oil, siku nyingine juice ya carrot na maji ya mchele, au maji ya mchele uliolowekwa kwa siku 5 au juisi ya kitunguu maji peke yake na siku nyingine nachanganya kitunguu maji na tangawizi nachuja juisi yake.

Vyote hivi sichanganyi na maji na nikipaka usiku nalala nimefunga nywele na kofia ya plastic asubuhi naziosha na kuzipaka hair butter na hair cream (Haya mafuta ya dukani) kisha naweka protective style mwenyewe ya wiki nzima.

Nshasahau kadhia za wasusi zaidi ya mwaka sasa na nywele zangu zinarefuka kila leo.

Pamoja na kurefuka wengi tuu wameshaniambia, Kasie una asili ya kisomali au kimanga wewe, hizi nywele zote ni zako mbona zina waves kama za kisomali wakati wewe ni mmatumbi wa kinyamwezi..... Basi Mie nacheka tuu hehehehee.

Kasie Manywele.
Vinywele vyangu ni vidogo ndo naanza safari ya Natural hair naweza nikafanya hii Treatment ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ipi ni nzuri kwa kuanzia?

Sent using Jamii Forums mobile app

Nywele asilia hazina formula, jaribu kitu kimoja asilia Kati ya vitu nilivyoorodhsha. Ukiona matokeo ndani ya wiki basi endelea usipoona badili kwenda kingine....

Ni suala la ubunifu na kile unachopenda. Siwezi kukwambia upake vitunguu maji wakati wewe huvipendi kumbe parachuchi na mtindi ukavipenda na vikafaa kwa nywele yako. Uchaguzi ni wako...

Mie nilianza na aina zote na hadi leo nachanganya changanya leo maji ya mchele kesho vitunguu keshokutwa parachichi mtondogoo mtindi nk nk.
 
Nywele asilia hazina formula, jaribu kitu kimoja asilia Kati ya vitu nilivyoorodhsha. Ukiona matokeo ndani ya wiki basi endelea usipoona badili kwenda kingine....

Ni suala la ubunifu na kile unachopenda. Siwezi kukwambia upake vitunguu maji wakati wewe huvipendi kumbe parachuchi na mtindi ukavipenda na vikafaa kwa nywele yako. Uchaguzi ni wako...

Mie nilianza na aina zote na hadi leo nachanganya changanya leo maji ya mchele kesho vitunguu keshokutwa parachichi mtondogoo mtindi nk nk.
Shukrani.
Naweza kutumia Mafuta ya nazi badala ya Olive Oil ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom