Bei gani Haya mkuu..?Tafuta Olive Oil....
Hutajuta
5000Bei gani Haya mkuu..?
Ahsante madame.Natumia mafuta ya nazi original yale unakuna nazi na kuchemsha tui au parachute yanauzwa maduka ya vipodozi
Ahsante mkuuwatafute natural desiree mkuu wana ayo mafuta wafollo Insta wana page yao
Bei yake ikoje mkuu?Tumia black castor oil
karibu, ndio jina hilo hilo parachute ya naziAhsante madame.
Yanapatikana kwa jina hilo hilo au yanajina lingine?
Ahsante tenakaribu, ndio jina hilo hilo parachute ya nazi
Asante, hinaya hiyo unapatikana wapimmmh ucjaribu kuwekaa dawa,, utabaki kipara,, zangu nikiweka dawa zina katika zote nabaki na kipara,, weka steaming,, hina ya majani changanya na yai la kienyejii kwa mwezi mara mbili , paka kwenye mizizi ya nywele,, utanipa matokeo
Natumia haya mafuta yako vizuri sana....Olive oil. Harufu yake nzuri pia na sio harufu kaliTafuta Olive Oil....
Hutajuta
SawaNatumia haya mafuta yako vizuri sana....Olive oil. Harufu yake nzuri pia na sio harufu kali
Usikate mpendwa hata Mimi nilikuwa naweka dawa na nimeacha kuweka tangu mwaka Jana,sasa nimebaki na natural hair pekee.Habarini wapendwa, , Mimi nina nywele ambazo niliweka dawa , lkn kwa sasa nahitaji nywele zangu za asili , wengi wananishauri nikate nianze upya lkn nywele zangu hazikui kwa haraka, naombeni km kuna mtu anajua njia nyingine ya kuondoa hii dawa kwenye nywele ili nibaki na za asili.
AHSANTE.