Utunzaji wa nywele za asili

Sijawahi kuzitumia kwa kweli na mwezi uliopita nimeziona SH Amon nikatamani kuzinunua(bei rahisi sana aisee) ila nikatoka nje ya duka nikasoma reviews zake mtandaoni(sababu sikuwahi kuzisikia kokote kabla ya siku hiyo) nikaona si nzuri. Wengi wanasema ni nzuri kwa mashombeshombe wenye type 3 hair hadi 4A lakini sisi wa kipilipili kichaa si rafiki kwetu.

Kwa kuongezea, siku hizi nimehamia products za Shea Moisture and i must say zinafanya kazi bora zaidi hasa katika kustyle nywele. Unaweza zijaribu japo bei zake zimechangamka!
Dah!mi sina kipilipil nina nywele za kawaida sana.sijui hata type gani ila dizain kama zinaanza kupungua hapo utosi(kipara).ni mafuta gani yanaweza saidi zisipungue zaidi
 
Mimi natumia auntie Jackie's kwa kweli nazipenda products zao kuna kipindi nilisuka nywele za mbele zikakatika nikatumia mafuta yao ya balance grapeseed and avocado nywele zimeota zote mbele..Shea moisture bei zao kwakweli hapana roho itaniuma sana nikinunua..nakomaa na auntie Jackie's
 
Dah!mi sina kipilipil nina nywele za kawaida sana.sijui hata type gani ila dizain kama zinaanza kupungua hapo utosi(kipara).ni mafuta gani yanaweza saidi zisipungue zaidi
Massage hapo utosini na Jamaican black castor oil..ila kama upara ni genetic issue (ipo kwenu),am afraid it won't help much.
 
Dada 'Mimi ni mama' ,naomba tuwasiliane with no joke,rather its so urgent.
My WhatsApp number is 0783059220.
Wishing you all successful day in Jesus Christ!
 
Habari wana jamvi.

Naomba kuelekezwa mafuta mazur ya nywele kwa wanawake, yenye kukuza, kujaza, kunenepesha, na kuifanya nywele iwe na rangi yake asili.

Niombe kutajiwa jina na bei yake tafadhari.
Ahsanten
 
Natumia mafuta ya nazi original yale unakuna nazi na kuchemsha tui au parachute yanauzwa maduka ya vipodozi
 
Back
Top Bottom