Nywele za kifuani mpaka tumboni kero kubwa napata shida

Mijinywele yaanzia uvunguni, yapanda hadi kitovuni, tumboni, yapanda hadi kifuani, hiyoooo weeeee, yapanda shingoni, hiyo mijinywele yajaa usoni, yaenda hadi mgongoni, yaanza kushuka chini, hiyo hadi kiunoni, yateremka chini hadi vungu uvundo, kasheshe ukitaka kunyoa unaanzia wapi?

dah

Cc Kingsmann
 
Jamaa hajasaidiwa chochote imepigwa jalamba tu hapa...
Dawa yake ni ndogo tu washa moto wa mabua kisha vua nguo zote alafu uwe unapita katikati ya moto mbioooo unageuka tena mbioooop unageuka tena mbiooooooo unageuka tena mbiooo unageuka tena mbioo hadi ziungue zote hazitaota tena
 
Jamaa hajasaidiwa chochote imepigwa jalamba tu hapa...
Dawa yake ni ndogo tu washa moto wa mabua kisha vua nguo zote alafu uwe unapita katikati ya moto mbioooo unageuka tena mbioooop unageuka tena mbiooooooo unageuka tena mbiooo unageuka tena mbioo hadi ziungue zote hazitaota tena
aiseee 😂 😂 😂 😂 😂 😂
nimecheka kifala
 
Mijinywele yaanzia uvunguni, yapanda hadi kitovuni, tumboni, yapanda hadi kifuani, hiyoooo weeeee, yapanda shingoni, hiyo mijinywele yajaa usoni, yaenda hadi mgongoni, yaanza kushuka chini, hiyo hadi kiunoni, yateremka chini hadi vungu uvundo, kasheshe ukitaka kunyoa unaanzia wapi?
😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Jamaa hajasaidiwa chochote imepigwa jalamba tu hapa...
Dawa yake ni ndogo tu washa moto wa mabua kisha vua nguo zote alafu uwe unapita katikati ya moto mbioooo unageuka tena mbioooop unageuka tena mbiooooooo unageuka tena mbiooo unageuka tena mbioo hadi ziungue zote hazitaota tena
:-D:-D:-D:-D
 
Sasa huu si uchafu tu khaaaa
s-l1600.jpg
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom