Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlikuwa nyaniii???wewe ulikuwa nani eti,pundamilia au??
Mijinywele yaanzia uvunguni, yapanda hadi kitovuni, tumboni, yapanda hadi kifuani, hiyoooo weeeee, yapanda shingoni, hiyo mijinywele yajaa usoni, yaenda hadi mgongoni, yaanza kushuka chini, hiyo hadi kiunoni, yateremka chini hadi vungu uvundo, kasheshe ukitaka kunyoa unaanzia wapi?
We cheka tuu,.msitu wa vina huo kabisaaHahahaaa
sahihi mkuuPoa mkuu, ukiwa active mida hii pia inapendeza kuona kilichojiri humu kutwa nzima japo kwa muhtasari
Akikulalia kifuani si unafika kibo hapo hapo....We cheka tuu,.msitu wa vina huo kabisaa
Inategemeaa😂😂ukute kuna miiba na michongoma kibao,.kibo na mawenzi huwezi fika aseeAkikulalia kifuani si unafika kibo hapo hapo....
Jamaa hajasaidiwa chochote imepigwa jalamba tu hapa...
Dawa yake ni ndogo tu washa moto wa mabua kisha vua nguo zote alafu uwe unapita katikati ya moto mbioooo unageuka tena mbioooop unageuka tena mbiooooooo unageuka tena mbiooo unageuka tena mbioo hadi ziungue zote hazitaota tena
Jamaa hajasaidiwa chochote imepigwa jalamba tu hapa...
Dawa yake ni ndogo tu washa moto wa mabua kisha vua nguo zote alafu uwe unapita katikati ya moto mbioooo unageuka tena mbioooop unageuka tena mbiooooooo unageuka tena mbiooo unageuka tena mbioo hadi ziungue zote hazitaota tena
aiseee 😂 😂 😂 😂 😂 😂Jamaa hajasaidiwa chochote imepigwa jalamba tu hapa...
Dawa yake ni ndogo tu washa moto wa mabua kisha vua nguo zote alafu uwe unapita katikati ya moto mbioooo unageuka tena mbioooop unageuka tena mbiooooooo unageuka tena mbiooo unageuka tena mbioo hadi ziungue zote hazitaota tena
😂 😂 😂 😂 😂 😂Mijinywele yaanzia uvunguni, yapanda hadi kitovuni, tumboni, yapanda hadi kifuani, hiyoooo weeeee, yapanda shingoni, hiyo mijinywele yajaa usoni, yaenda hadi mgongoni, yaanza kushuka chini, hiyo hadi kiunoni, yateremka chini hadi vungu uvundo, kasheshe ukitaka kunyoa unaanzia wapi?
Tabia ya kishamba sana kujaribu kukimbia asili yakoNi sahihi Kwa mwanaume kuacha nywele za kifuani mpaka tumboni
Me naomba msaada kama kuna dawa niyaondoe napata wakat mgumu sana
Ahsante nisaidieni
:-D:-D:-D:-DJamaa hajasaidiwa chochote imepigwa jalamba tu hapa...
Dawa yake ni ndogo tu washa moto wa mabua kisha vua nguo zote alafu uwe unapita katikati ya moto mbioooo unageuka tena mbioooop unageuka tena mbiooooooo unageuka tena mbiooo unageuka tena mbioo hadi ziungue zote hazitaota tena