Nywele kusisimka ghafla pindi kuna hatari. Nini hufanyika hadi hali hiyo kutokea?

Unawindwa na wasiojulikana wala kuonekana...

Kuwa makini sana, unacho wanachokitafuta...


Cc: mahondaw

Leo niwaulizeni swali, kipindi cha nyuma huko Cc [HASHTAG]#mahondaw[/HASHTAG] haikuepo kwenye post zako lakini sasa hivi ni kila post
Swali: huyu binti [HASHTAG]#mahondaw[/HASHTAG] mlipatana humu JF then kila abira achunge mzigo wake??
 
Leo niwaulizeni swali, kipindi cha nyuma huko Cc [HASHTAG]#mahondaw[/HASHTAG] haikuepo kwenye post zako lakini sasa hivi ni kila post
Swali: huyu binti [HASHTAG]#mahondaw[/HASHTAG] mlipatana humu JF then kila abira achunge mzigo wake??

Huu ni uchochezi...
Ila ngoja nikujibu, angalia upya post zangu za nyuma...

cc: mahondaw
 
Mi naskiaga wanasema ukiona hiyo hali ujue eneo hilo kuna wachawi wanapita au wanafanya shuguli zao
 
Daah jamaa umekufuru asee, NAKUSIKITIKIA SANA. Kwanini msiwe mnakaa kimya?
Afu uyu jamaa ndo zake sijui ni dini gani huyu,mi ananikera anavyokufuru dini.
Kila mtu aheshimu dini ya mwenzake,imani yake inamtuma kufikiri imani ya mwenzake ni haramu
 
Ni hali ya hofu tuu pindi unapo kitana na mambo ya roho chafu so me nakushauru SARI SANA..kwani JESUS NDO KILA KITU
 
Heshima kwenu wakuu,
Nimewahi kukumbwa na hali ya nywele kusisimka ghafla na kuwa kama zinasimama au kurefuka ghafla hasa napotembea nyakati za usiku na Mara moja nilikuwa nimelala kitandani.
Hali hiyo huambatana na something like kaupepo kenye baridi na hatimaye hofu huingia na kunijaa kuashiria eneo husika sio salama au kuna hatari but sijawahi kuona kwa macho hatari then hali hiyo hupotea.
Naomba kuuliza nini hasa husababisha hali hiyo na je kunakuwaga na hatari kweli au ni kitu gani hasa? Je na wengine mumewahi kukumbwa na situation kama hizo,,pliz wajuzi may you let me know.Thanks in advance,karibuni wadau am confused!
Ni somo ndefu mkuu ila kama mdau mmoja alivyosema kuna mlango wa sita kwa binadamu ambao hushughulika na kinetic energy, emotions na perceptions. Ulishajiuliza inakuaje unawaza unaibia na ukienda unakuta umeibiwa kweli? Au kuna mtu nyuma yako na ukigeuka una mkuta? Huu mlango wa fahamu unaitwa ESP (EXTRA PERCEPTION SENSE ORGAN)
 
Kha ushindwe
Mmesikia uchungu eeeeh. Na pale mnapomtukanaga Allah kwa kumwita ni Abdul Qathem je huwa mnaoa raha? Na mnavyomwitaga mtume wetu Muhammad s.a.w kuwa ni mbakaji mnajisikiagaje? Mara mseme alirogwa mara aliingiwa na pepo....
Kwani kurogwa kwa Muhammad tatizo ninini? Kurogwa kwa binadamu na Mumgu kugongelewa misumari maalabani ipi ni fedheha?
 
Inahusianaje na mada yangu
Ungeenda shule vizuri ungeelewa kazi za hormones mbalimbali mwilini. Over secretion na under secretion mwilini pamoja na athari zake. Kiufupi una over secretion mwilini ya adrenaline from the adrenal glands zilizopo juu ya figo zako
Umeniona mimi tu? Huyo MGEN anavyosema mtume Muhammad na Allah walivyo huoni?
Ni bora ungesema mmekufuru kuliko kunisema mimi tu......
Mseme na MGEN pia hapo nitakuelewa.
 
Heshima kwenu wakuu,
Nimewahi kukumbwa na hali ya nywele kusisimka ghafla na kuwa kama zinasimama au kurefuka ghafla hasa napotembea nyakati za usiku na Mara moja nilikuwa nimelala kitandani.
Hali hiyo huambatana na something like kaupepo kenye baridi na hatimaye hofu huingia na kunijaa kuashiria eneo husika sio salama au kuna hatari but sijawahi kuona kwa macho hatari then hali hiyo hupotea.
Naomba kuuliza nini hasa husababisha hali hiyo na je kunakuwaga na hatari kweli au ni kitu gani hasa? Je na wengine mumewahi kukumbwa na situation kama hizo,,pliz wajuzi may you let me know.Thanks in advance,karibuni wadau am confused!
Rudi shule ukasome mambo ya glands na hormone
 
Mmesikia uchungu eeeeh. Na pale mnapomtukanaga Allah kwa kumwita ni Abdul Qathem je huwa mnaoa raha? Na mnavyomwitaga mtume wetu Muhammad s.a.w kuwa ni mbakaji mnajisikiagaje? Mara mseme alirogwa mara aliingiwa na pepo....
Kwani kurogwa kwa Muhammad tatizo ninini? Kurogwa kwa binadamu na Mumgu kugongelewa misumari maalabani ipi ni fedheha?
Na ivi ndo nshakudharau basi hata kubishana najionea ushubwada
Pambana na stress zako
 
Kuna k2 kinaitwa
"LAW OF ATTRACTION"--> yenyew inausiana & fikra zako.
"UR XO BECOME THINGS"--> vile ambavyo umevifkiria ugeuka v2
*Xo hyo in sycology mkuu.
 
MUNGU ameumba viumbe vingi,,,vikiwemo vinavyoonekana na visivyoonekana kwa macho,,,hivyo sometimes huenda unakutana na viumbe ambavyo wao wanakuona vizuri,,ila wewe huwaoni ,,,,pia wapo watu ambao hupata hisia kama hizo km kuna jambo baya linakuja,,,,ndy maana mtu anaweza akatafutwa,,na kila anapoondoka WANAOMTAFUTA HUFIKA eneo husika,,,na kuambiwa alikuwapo hapa sasa hivi,,,au unaweza kuhisi jambo ukabadilisha njia,, baadae ukasikia ile njia ukiyoikwepa kuna tukio baya limetokea,,,hivyo unapaswa kuamini hisia zako,,,zikikushtua jambo zifuate,,,ukijizoesha hivyo,,,mwisho wa siku watakuona ni mchawi,,kumbe hisia zinakuelekeza kabka ya jambo kutokea,,,,
Ushuhuda kupitia maelezo yako.

Mwaka 2010 mwezi wa 10-12 kuna Eneo nilizoea kupita sana nikiwa naenda kazini na mara nyingi ilikuwa mida ya saa nane usiku ( 0200) na saa tatu usiku wakat narud. Kuna eneo nilikuwa nikifika tu lazma nywele zangu zisisimke ..hali hii ilidum kwa muda wa miez hiyo lakin niliona n kawaida tu.

Nilijarbu kuongea na mama yangu mzazi nikimuelezea hiyo hali lakn aliniambia kuwepo kwa hatar hilo eneo na hatar hyo yawezekana imeshindwa kunitokea kwa sababu ya kuwa imara either kiiman au baht yangu tu. Niliendelea kupta hilo eneo bila kujar hiyo hali lakn nilikuja kuamin maneno ya mama baada ya matukio makubwa kutokea hapo mahli

1) . sehem ilikuwa karbu na mto ilitokea watoto wawili kutumbukia na kufarik ambapo wenyeji walihusisha tukio hilo na uwepo wa jini hilo eneo lakn kwa wale wasiyo amin uwepo wa vitu hivyo dunian hawakuamn na wakabakia na iman zao.

2), siku kadha baada ya tukio tajwa hpo juu , kulitokea akina mama wawili wakipita hilo eneo mida ya saa moja jioni ..walikutana na kitu kama mdoli ukiwa na nywele ndefu sana kila walivyo zidi kukimbia ndivyo kalivyo zidi kuwazuia mbele lakn Mungu mkubwa baada ya muda kaka toweka na wakanusurika.

Baada ya hpo mm niliamin maneno ya mama kutokana na hali iliyo kuwa ikinipata kipindi hicho. Wazee wa eneo husika walikaa na kukemea hiyo tabia kwani waliamin pas na shaka kwamba kuna kijana kijijin hapo kakosea mashart ya mambo yke sasa kuna mfugo wke umemshina. Alipewa onyo

Na mpaka saiz naskia hali n shwali hata upite usku wa manane hilo eneo hakuna utakacho hisi labda ukivuta hisia ya uoga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom