Nyuzi za Mkonge

ldcecane

New Member
Oct 23, 2016
1
0
Heshima kwenu wakuu.
Ninahitaji kununua nyuzi za mkonge kutoka mkoa wowote uliopo karibu na Dar es Salaam. Naomba anayejua kiwanda kinachozalisha nyuzi hizo au wakulima wanaouza nyuzi hizo na bei kwa kilo moja.

Asanten sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom