Nyuso zisizo na furaha kwa wakazi wa Dar

Unalazimisha Hicho Kilicho Kichwani Mwako Kiwe na Kwangu, Mimi Sipo Huko Mkuu, Nina Miaka Si Chini Ya Sita tangu niwe Jf, Nije Kutafuta Mrembo Leo?
Social media namaanisha facebook na instagram sio humu JF unaweza tongoza dume lenzio au mtu asiejulikana
 
Social media namaanisha facebook na instagram sio humu JF unaweza tongoza dume lenzio au mtu asiejulikana
Ok! Nimekuelewa! Nina Uwezo wa Kua Na Msichana Nimtakae, Pasipokutumia Nguvu, Hao Wa Social Media nawaachia Nyinyi Vijana Mliokata Tamaa
 
Habari za Jioni Wadau Hopefully Mko Poa , Hongereni Sana kwa Long Weekend, Nimekuja Kwenu Tujadili Hili Suala, Ni Mimi tu ndio Naona hii au na Wenzangu mnaliona, Nimezaliwa Dar, Kwa Bahati Mbaya Maisha Yangu Ya Shule na Kazi Sijaishi Huku Hadi Nilipopata Uhamisho wa Kuja Kufanya Kazi.

Huku, Sometime Hua Napabda Public Transport nikiamua, Though Nina Usafiri Binafsi, Tatizo Linakuja Na Aina Ya Watu Unaokutana Nao, Muda Wote Wamenuna, Wengine hata Ukimsalimu Haitiki, Nyuso Hazina Nuru Kabisa, Hili Linasababishwa Na Nini? Sijazoea Kabisa hii Hali, Inasababibishwa Na Nini? Niko Serious Wadau.
Hayo uliyoshuhudia Dar ni cha mtoto. Hebu ulizia wale ambao wanaishi au waliowahi kuishi jiji la Nairobi.
 
Habari za Jioni Wadau Hopefully Mko Poa , Hongereni Sana kwa Long Weekend, Nimekuja Kwenu Tujadili Hili Suala, Ni Mimi tu ndio Naona hii au na Wenzangu mnaliona, Nimezaliwa Dar, Kwa Bahati Mbaya Maisha Yangu Ya Shule na Kazi Sijaishi Huku Hadi Nilipopata Uhamisho wa Kuja Kufanya Kazi.

Huku, Sometime Hua Napabda Public Transport nikiamua, Though Nina Usafiri Binafsi, Tatizo Linakuja Na Aina Ya Watu Unaokutana Nao, Muda Wote Wamenuna, Wengine hata Ukimsalimu Haitiki, Nyuso Hazina Nuru Kabisa, Hili Linasababishwa Na Nini? Sijazoea Kabisa hii Hali, Inasababibishwa Na Nini? Niko Serious Wadau.

Habari za Jioni Wadau Hopefully Mko Poa , Hongereni Sana kwa Long Weekend, Nimekuja Kwenu Tujadili Hili Suala, Ni Mimi tu ndio Naona hii au na Wenzangu mnaliona, Nimezaliwa Dar, Kwa Bahati Mbaya Maisha Yangu Ya Shule na Kazi Sijaishi Huku Hadi Nilipopata Uhamisho wa Kuja Kufanya Kazi.

Huku, Sometime Hua Napabda Public Transport nikiamua, Though Nina Usafiri Binafsi, Tatizo Linakuja Na Aina Ya Watu Unaokutana Nao, Muda Wote Wamenuna, Wengine hata Ukimsalimu Haitiki, Nyuso Hazina Nuru Kabisa, Hili Linasababishwa Na Nini? Sijazoea Kabisa hii Hali, Inasababibishwa Na Nini? Niko Serious Wadau.
Mkurugenzi kwani kwenye job description yako kunasehemu inasema kuwa una kazi ya kusalimia watu?. Nenda ulaya ndo utachoka ukimsalimia mtu anajiuliza kakukosea nini. So mdogo wangu nakushauri u mind your own business maisha yanasonga kwani society in evolve taratibu.
 
We nawe unataka kufanana na Kiduku Lilo:
Habari za Jioni Wadau Hopefully Mko Poa , Hongereni Sana kwa Long Weekend, Nimekuja Kwenu Tujadili Hili Suala, Ni Mimi tu ndio Naona hii au na Wenzangu mnaliona, Nimezaliwa Dar, Kwa Bahati Mbaya Maisha Yangu Ya Shule na Kazi Sijaishi Huku Hadi Nilipopata Uhamisho wa Kuja Kufanya Kazi.

Huku, Sometime Hua Napabda Public Transport nikiamua, Though Nina Usafiri Binafsi, Tatizo Linakuja Na Aina Ya Watu Unaokutana Nao, Muda Wote Wamenuna, Wengine hata Ukimsalimu Haitiki, Nyuso Hazina Nuru Kabisa, Hili Linasababishwa Na Nini? Sijazoea Kabisa hii Hali, Inasababibishwa Na Nini? Niko Serious Wadau.
 
Habari za Jioni Wadau Hopefully Mko Poa , Hongereni Sana kwa Long Weekend, Nimekuja Kwenu Tujadili Hili Suala, Ni Mimi tu ndio Naona hii au na Wenzangu mnaliona, Nimezaliwa Dar, Kwa Bahati Mbaya Maisha Yangu Ya Shule na Kazi Sijaishi Huku Hadi Nilipopata Uhamisho wa Kuja Kufanya Kazi.

Huku, Sometime Hua Napabda Public Transport nikiamua, Though Nina Usafiri Binafsi, Tatizo Linakuja Na Aina Ya Watu Unaokutana Nao, Muda Wote Wamenuna, Wengine hata Ukimsalimu Haitiki, Nyuso Hazina Nuru Kabisa, Hili Linasababishwa Na Nini? Sijazoea Kabisa hii Hali, Inasababibishwa Na Nini? Niko Serious Wadau.
Ujanja wao woote,wanaongozwa na FaFaFa flani hv ambaye hajawahi simamia jambo likatimia.

Kila siku anawapa stress tu,huwa nawahurumia sana viumbe wa Daslamu.Mungu awarehemu kwa kweli..
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom