peedee dise
JF-Expert Member
- Aug 11, 2019
- 203
- 124
duh yaani dar nzima kila mtu ni kanumba? sasa kiaje?
Nilikosea apo kwenye Kanumba maana yake ni kanuna umenipataduh yaani dar nzima kila mtu ni kanumba? sasa kiaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duh yaani dar nzima kila mtu ni kanumba? sasa kiaje?
Nilikosea apo kwenye Kanumba maana yake ni kanuna umenipataduh yaani dar nzima kila mtu ni kanumba? sasa kiaje?
nakanjani broNilikosea apo kwenye Kanumba maana yake ni kanuna umenipata
(Nakanjani)ndo nininakanjani bro
ni kizulu maana yake haina shida, powa,sawa..(Nakanjani)ndo nini
Nije Kutafuta Demu Jf? Hapana, Halikua Lengo Langu Hilo, Sijawahi na Haitakaa Itokee Nikatafuta Mwanamke Kwenye Social Media
Wameambiwa waoge na pia wakitupa uchafu watadeki barabara,lazima wanune mkuu.Habari za Jioni Wadau Hopefully Mko Poa , Hongereni Sana kwa Long Weekend, Nimekuja Kwenu Tujadili Hili Suala, Ni Mimi tu ndio Naona hii au na Wenzangu mnaliona, Nimezaliwa Dar, Kwa Bahati Mbaya Maisha Yangu Ya Shule na Kazi Sijaishi Huku Hadi Nilipopata Uhamisho wa Kuja Kufanya Kazi.
Huku, Sometime Hua Napabda Public Transport nikiamua, Though Nina Usafiri Binafsi, Tatizo Linakuja Na Aina Ya Watu Unaokutana Nao, Muda Wote Wamenuna, Wengine hata Ukimsalimu Haitiki, Nyuso Hazina Nuru Kabisa, Hili Linasababishwa Na Nini? Sijazoea Kabisa hii Hali, Inasababibishwa Na Nini? Niko Serious Wadau.
watu wanalazimishwa kuoga,,kupimwa tezi dume na kusajili ndoa...furaha itoke wapi??
Nadhani alikuwa anaishi Lamu ya Kenya huyo. Na gari kapewa hiyo ndo maana anajitangaza huku kwa Makonda. Mwambie awe na cheti chake cha kuolewa hapa dar si mchezo. Ngoja waondoke wageni uone cha motobefore yakuhamia kwa makonda ulikuwa unaishi wapi tulinganishe uzito wa hoja yako
Kama hamuogagi, sana si aandae mapipa ya maji uko mjini ili awaogeshe.Ila Dar usafiri wa daladala shida aisee
wewe fikiria mtu umetoka kazini umechoka saa 11 jioni umekaa kituoni Sim2000 zaidi ya saa zima unahangaika kupata daladala ya kwenda tabata kimanga kila zikija zimejaa
umestruggle ukadandia na siti umekosa, umeshikiria bomba hadi tabata bima njiani umekutana na foleni za kufa mtu, NAOMBA NIAMBIE HIYO NURU UTAKUWA NAYO USONI?
hapo sijaweka changamoto ulizokumbana nazo kazini/kwenye biashara zako, mara mamakonda awalazimishe kuoga,
Kumbe sifa ya majiji watu kunywa eeeh. Sasa wengine wakinuna wanakuwa na sura mbaya hadi wanatuchekesha haaaaa, mi siwezi kununa wenye majiji yenu nuneni tu, wacha sisi tu cerebrate.😂😂😂😂😂😂 sio nyuuyoki tu mkuu mpaka losanjezii watu wamenuna
Huyo ni mpumbavu mmoja katoka huko bush anakuja kusumbua watu hukuwatu wanalazimishwa kuoga,,kupimwa tezi dume na kusajili ndoa...furaha itoke wapi??
Tabasamu ni JPM na Bashite tu. Sasa wewe mtu kama profesa anaitwa mpumbavu tutakuwa na furaha vipi sisi tusio hata na bachelor si ndio atatuita mbwa?Sasa lakini muwe angalau mna tabasamu mna mtisha jamaa kila mtu Kanumba looooh
Hahahahaaawatu wanalazimishwa kuoga,,kupimwa tezi dume na kusajili ndoa...furaha itoke wapi??
Ilo nalo nenoMimi nafikiri tatizo kubwa ni wasiojulikana watu hawana amani kwakuwa hawajui watatekwa lini na ni lini wataambiwa siyo raia
Ndoo ya Maji 500 hadi 1000Hawapendi kuoga,
Sasa wakilazimishwa Furaha itoke wapi......!
Habari za Jioni Wadau Hopefully Mko Poa , Hongereni Sana kwa Long Weekend, Nimekuja Kwenu Tujadili Hili Suala, Ni Mimi tu ndio Naona hii au na Wenzangu mnaliona, Nimezaliwa Dar, Kwa Bahati Mbaya Maisha Yangu Ya Shule na Kazi Sijaishi Huku Hadi Nilipopata Uhamisho wa Kuja Kufanya Kazi.
Huku, Sometime Hua Napabda Public Transport nikiamua, Though Nina Usafiri Binafsi, Tatizo Linakuja Na Aina Ya Watu Unaokutana Nao, Muda Wote Wamenuna, Wengine hata Ukimsalimu Haitiki, Nyuso Hazina Nuru Kabisa, Hili Linasababishwa Na Nini? Sijazoea Kabisa hii Hali, Inasababibishwa Na Nini? Niko Serious Wadau.