Nyuso zisizo na furaha kwa wakazi wa Dar

Acha kufuatilia sana maisha binafsi ya watu provided that wanaishi bila kuvunja za nchi.

Jifunze ku deal na maisha yako.
 
Kwani wapo?
Mbona mimi sijawahi kutembelea hiyo nyota kila siku nakumbatia mito badala ya kifua
Nije Kutafuta Demu Jf? Hapana, Halikua Lengo Langu Hilo, Sijawahi na Haitakaa Itokee Nikatafuta Mwanamke Kwenye Social Media
 
Habari za Jioni Wadau Hopefully Mko Poa , Hongereni Sana kwa Long Weekend, Nimekuja Kwenu Tujadili Hili Suala, Ni Mimi tu ndio Naona hii au na Wenzangu mnaliona, Nimezaliwa Dar, Kwa Bahati Mbaya Maisha Yangu Ya Shule na Kazi Sijaishi Huku Hadi Nilipopata Uhamisho wa Kuja Kufanya Kazi.

Huku, Sometime Hua Napabda Public Transport nikiamua, Though Nina Usafiri Binafsi, Tatizo Linakuja Na Aina Ya Watu Unaokutana Nao, Muda Wote Wamenuna, Wengine hata Ukimsalimu Haitiki, Nyuso Hazina Nuru Kabisa, Hili Linasababishwa Na Nini? Sijazoea Kabisa hii Hali, Inasababibishwa Na Nini? Niko Serious Wadau.
Wameambiwa waoge na pia wakitupa uchafu watadeki barabara,lazima wanune mkuu.
 
before yakuhamia kwa makonda ulikuwa unaishi wapi tulinganishe uzito wa hoja yako
Nadhani alikuwa anaishi Lamu ya Kenya huyo. Na gari kapewa hiyo ndo maana anajitangaza huku kwa Makonda. Mwambie awe na cheti chake cha kuolewa hapa dar si mchezo. Ngoja waondoke wageni uone cha moto
 
Ila Dar usafiri wa daladala shida aisee
wewe fikiria mtu umetoka kazini umechoka saa 11 jioni umekaa kituoni Sim2000 zaidi ya saa zima unahangaika kupata daladala ya kwenda tabata kimanga kila zikija zimejaa
umestruggle ukadandia na siti umekosa, umeshikiria bomba hadi tabata bima njiani umekutana na foleni za kufa mtu, NAOMBA NIAMBIE HIYO NURU UTAKUWA NAYO USONI?

hapo sijaweka changamoto ulizokumbana nazo kazini/kwenye biashara zako, mara mamakonda awalazimishe kuoga,
Kama hamuogagi, sana si aandae mapipa ya maji uko mjini ili awaogeshe.
 
😂😂 sio nyuuyoki tu mkuu mpaka losanjezii watu wamenuna
Kumbe sifa ya majiji watu kunywa eeeh. Sasa wengine wakinuna wanakuwa na sura mbaya hadi wanatuchekesha haaaaa, mi siwezi kununa wenye majiji yenu nuneni tu, wacha sisi tu cerebrate.😂😂😂😂
 
Sasa lakini muwe angalau mna tabasamu mna mtisha jamaa kila mtu Kanumba looooh
Tabasamu ni JPM na Bashite tu. Sasa wewe mtu kama profesa anaitwa mpumbavu tutakuwa na furaha vipi sisi tusio hata na bachelor si ndio atatuita mbwa?
 
Mimi nafikiri tatizo kubwa ni wasiojulikana watu hawana amani kwakuwa hawajui watatekwa lini na ni lini wataambiwa siyo raia
 
Kwa kifupi Dar maisha yamejaa hofu mashaka na kutokujiamini, hawajui kesho yao ni maisha mabovu hayana mfano wake.
Ni jamii ya wachache sana wenye furaha kwa dar.
Huwezi kufurahia usafiri wako kwa foleni, huwezi kufika kwa wakati uendako
Habari za Jioni Wadau Hopefully Mko Poa , Hongereni Sana kwa Long Weekend, Nimekuja Kwenu Tujadili Hili Suala, Ni Mimi tu ndio Naona hii au na Wenzangu mnaliona, Nimezaliwa Dar, Kwa Bahati Mbaya Maisha Yangu Ya Shule na Kazi Sijaishi Huku Hadi Nilipopata Uhamisho wa Kuja Kufanya Kazi.

Huku, Sometime Hua Napabda Public Transport nikiamua, Though Nina Usafiri Binafsi, Tatizo Linakuja Na Aina Ya Watu Unaokutana Nao, Muda Wote Wamenuna, Wengine hata Ukimsalimu Haitiki, Nyuso Hazina Nuru Kabisa, Hili Linasababishwa Na Nini? Sijazoea Kabisa hii Hali, Inasababibishwa Na Nini? Niko Serious Wadau.
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom