Kuna kitu hakipo sawa, Ni dhahiri wiki ya nyungu ilipewa thamani kubwa na viongozi hata vyombo vya habari vilitangaza na kusifia ufukizaji wa nyungu bila gharama zozote
Siku za kuabudi, kuomba na kusifu haikupewa nguvu kabisa
Kuna kitu hakipo sawa, Ni dhahiri wiki ya nyungu ilipewa thamani kubwa na viongozi hata vyombo vya habari vilitangaza na kusifia ufukizaji wa nyungu bila gharama zozote
Siku za kuabudi, kuomba na kusifu haikupewa nguvu kabisa
Kujifukiza na kuomba yote hayo ni tapatapa ya cccm baada ya kubugi step pale mwanzoni. Tuliwashauri wafunge viwanja vya ndege corona isiingie wakajidai wanapenda uchumi zaidi kuliko maisha ya watu, ndio sasa wanakuja na mbinu mbalimbali za kisaikolojia za kuwatuliza watu. Hakuna serikali inayolaumiwa kwa kuchukua hatua mbovu dhidi ya corona Africa nzima kama serikali hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.