Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,598
- 1,233
Wakati mwendesha baiskeli yuko bize kwenye mashindano ya kuendesha baiskeli mwituni, nyumbu mmoja alitokea kusikojulikana na kumpiga daflao la nguvu na kumwangusha kisha kumgalagaza chali mwendeshaji huyo pamoja na baiskeli yake. Jamaa ana bahati aliponea chupu chupu sababu alikuwa amevaa helmet (kofia ya chuma).
Tukio hilo limetokea jana huko uswazi (South Africa).
Last edited by a moderator: