Makimuda255
Senior Member
- Jul 31, 2020
- 165
- 286
Kweli nimefurahi sana jamani, turikua tunatamani tuwe naTV sasa reo dada yetu anakaa uko Mpanda mjini kaleta TV. Kweri tumefurahi sana nilikua hadi nakenda humo mjini kule vibanda unaripia pesa ndo unaluhusiwa kuangaria
Leo dada ameleta TV nina fulaha sana kweli sasa hivi kwetu nasisi ni matajili maana tunauyo TV maana baba Ramla alituonea sana na TV yake ukienda kuangalia hadi unaambiwa ukae chini ili tu uangalie TV
Umeme REA unapita huku kijijini week mbili zijazo na sisi tutaangaria na sasa ni matajili maana tuna TV Alipiga picha ii ikiwa apo mpanda kanirushia kwa blue maana simu yangu ina uwezo mdogo
Leo dada ameleta TV nina fulaha sana kweli sasa hivi kwetu nasisi ni matajili maana tunauyo TV maana baba Ramla alituonea sana na TV yake ukienda kuangalia hadi unaambiwa ukae chini ili tu uangalie TV
Umeme REA unapita huku kijijini week mbili zijazo na sisi tutaangaria na sasa ni matajili maana tuna TV Alipiga picha ii ikiwa apo mpanda kanirushia kwa blue maana simu yangu ina uwezo mdogo