Bora kutandika raha ili shemeji akimuacha dada nikapambane na hali yangu upya.Siku Dada akiachika na raha nazo ndio zinaota nyasi!
Ni bora kuishi kimasikini nyumbani kwako kuliko kuishi kitajiri kwenye nyumba ya mwenzako.
😁😁😁Siondoki tena chaneli ya sinema zetu nzuri sanaView attachment 968224
Sio kidogoKazi kwelikweli.
Sa sijui raha iko wapi hapo sababu akitokea mwenye nyumba lazima asimangwe kwa kuweka hiyo miguu juu ya meza cha zaidi ataambiwa subiri uwe na yako ndio uweke hii utavunja.. 😀😀😀Sio kidogo
Raha zake ni pamoja na kusimangwa!Sa sijui raha iko wapi hapo sababu akitokea mwenye nyumba lazima asimangwe kwa kuweka hiyo miguu juu ya meza cha zaidi ataambiwa subiri uwe na yako ndio uweke hii utavunja.. 😀😀😀
😀😀😀😀Raha zake ni pamoja na kusimangwa!