N Ngugi wa Malindi Member Jan 10, 2018 14 9 May 9, 2018 #1 Wakuu napangisha nyumba zangu Chanika Ilala Dsm Karibu na Police Post mwenye kuhitaji anicheck.
kawombe JF-Expert Member Mar 26, 2015 12,832 13,147 May 9, 2018 #2 Mbona bado hujamalizia rangi mkono mmoja tu feni hapo juu ujaweka wavu w madirishani nao bado
Darmian JF-Expert Member Oct 1, 2017 17,191 46,232 May 9, 2018 #3 Hii nyumba nzuri sana..ina hadi parking,ama kwa hakika picha yavutia
Dumelang JF-Expert Member Aug 11, 2011 3,194 5,598 May 9, 2018 #4 Nimependa hapo getini pakuingilia na parking ni nzuri
msumeno JF-Expert Member Aug 3, 2009 2,827 1,729 May 9, 2018 #7 Waou amazing , mimi nimependa location yake tu na hasa ule mnazi pale uwani, ( till when we have to tell you to always pics on adds? )
Waou amazing , mimi nimependa location yake tu na hasa ule mnazi pale uwani, ( till when we have to tell you to always pics on adds? )
mhemeavisogo JF-Expert Member Jul 23, 2014 343 195 May 9, 2018 #8 Punguza majani kwenye hiyo, Garden ni hatari kwa mazalio ya mbu....!!
mng'ato JF-Expert Member Oct 27, 2014 29,204 48,983 May 9, 2018 #9 Naona umeipiga plasta ya kizushi,afu huyo mlinzi wa ULTIMATE SECURITY hapo geti kubwa mngembadilishia mavazi yamechakaa sana.
Naona umeipiga plasta ya kizushi,afu huyo mlinzi wa ULTIMATE SECURITY hapo geti kubwa mngembadilishia mavazi yamechakaa sana.
Zeus1 JF-Expert Member Aug 24, 2017 6,993 8,916 May 9, 2018 #10 Kweli ni nzuri,naona kwenye picha hapo kuna mazingira mazuri sana,naona na police pembeni hapo??