Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,977
- 20,243
Nyumba zaidi ya 100.Mbezi Beach Zilizo jirani na baharini kubombolewa kufuatia kukiuka sheria za majenzi!
Chanzo ITV
Chanzo ITV
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyumba zaidi ya 100.Mbezi Beach Zilizo jirani na baharini kubombolewa kufuatia kukiuka sheria za majenzi!
Chanzo ITV
Walipokuwa wanajenga wenye mamlaka hawakuwaona?
Hizi kelele tushazisikia sana hadi sasa masikio yamekuwa sugu. Hazina jipya. wakibomoa sawa wakiacha sawa kwa maana hazitukwamui na kututoa hapa tulipo.Nyumba zaidi ya 100.Mbezi Beach Zilizo jirani na baharini kubombolewa kufuatia kukiuka sheria za majenzi!
Chanzo ITV
Walipokuwa wanajenga wenye mamlaka hawakuwaona?
Hizi ni ndoto za mchana hii ni hadithi kama hadithi thingine tu mfano mawaziri kuhamia dodoma ili kuenzi mji mkuu wetu wz dodomaNyumba zaidi ya 100.Mbezi Beach Zilizo jirani na baharini kubombolewa kufuatia kukiuka sheria za majenzi!
Chanzo ITV
Waanze kuvunja ikulu ndo waende mbezi,ikulu ndo imevunja sheria kwa asilimia 100.
Sawa kabisa!Wanawatafutia ulaji wa zaidi ya kodi watazopata kama ilivyokuwa kwa wenye majengo pale Oyterbay. Kesi ni lazima washinde.
Nakumbuka jengo moja Kariakoo, lilipokuwa likianza kujengwa, engineer wa City akaja kusema "niwape ujanja wa kupata fedha za haraka? Mkikubali tugawane, kazi yote ntaifanya mimi".
Hiyo ya Mbezi ni ulaji tu huo unasukwa.
Bomoa, kesi, ushindi, serikali inalipa mara mia zaidi ya kodi itayokusanywa na mwenye nyumba kwa miaka 50 ijayo.
Wanawatafutia ulaji wa zaidi ya kodi watazopata kama ilivyokuwa kwa wenye majengo pale Oyterbay. Kesi ni lazima washinde.
Nakumbuka jengo moja Kariakoo, lilipokuwa likianza kujengwa, engineer wa City akaja kusema "niwape ujanja wa kupata fedha za haraka? Mkikubali tugawane, kazi yote ntaifanya mimi".
Hiyo ya Mbezi ni ulaji tu huo unasukwa.
Bomoa, kesi, ushindi, serikali inalipa mara mia zaidi ya kodi itayokusanywa na mwenye nyumba kwa miaka 50 ijayo.
hahaha! kumbe hujui,huyu mama swala lolote linaloweza kugusa kwao Kariakoo mtaonana wabaya,bomoa ikianza Mbezi si inaweza hamia Kariakoo ? pale kuna nyumba zina vibali vya ghorofa 4 lakini wamejenga hadi 8.Dada FF, Hapa ndo huwa nashindwa kukuelewa kabisa. Kumbe unatambua madhambi ya Serikali yako lakini kila uchwao unawapigia debe? Au wamekuzima mgao wa Igunga?
Sawa kabisa!
Kwa mara ya kwanza leo umeongea kwa hulka ya kitazania halisi!!
Dada FF, Hapa ndo huwa nashindwa kukuelewa kabisa. Kumbe unatambua madhambi ya Serikali yako lakini kila uchwao unawapigia debe? Au wamekuzima mgao wa Igunga?
Wanawatafutia ulaji wa zaidi ya kodi watazopata kama ilivyokuwa kwa wenye majengo pale Oyterbay. Kesi ni lazima washinde.
Nakumbuka jengo moja Kariakoo, lilipokuwa likianza kujengwa, engineer wa City akaja kusema "niwape ujanja wa kupata fedha za haraka? Mkikubali tugawane, kazi yote ntaifanya mimi".
Hiyo ya Mbezi ni ulaji tu huo unasukwa.
Bomoa, kesi, ushindi, serikali inalipa mara mia zaidi ya kodi itayokusanywa na mwenye nyumba kwa miaka 50 ijayo.
Uimara wa hoja yako hapo juu umeupoteza kwa komenti hii dada!Serikali ni nani? hata mimi na wewe ni Serikali. Ni wapi uliwahi kusikia FF akisema Tanzania hakuna wezi?
Tatizo mlilo nalo ni kuwa kila mtu ni mwizi, la hasha, bado kuna watu wema wengi sana Tanzania.
Kuna wizi zaidi ya kukwapua akiba za watu za uzeeni na kukataa kuzirudisha? kuna wizi zaidi ya kuuza vi Fuso used vya million 30 million 500?
Hebu funguweni macho japo kidogo.
mama ITIBAIJUKA muulize mzee Isac Cheyo,alikuja na sera kama hizo yuko wapi