Shemeji angu alinunua nyumba huko mill tatu karibu na shule ya chumbageni daah kunawatu wana bahati sana, nyumba ya maana ipo pazuri tu.
Kuna wengine waliuziwa Majani Mapana/Nguvumali, za kule zilikuwa nzuri zaidi...
Wengine maeneo ya Changa kama mzee wake Gadner Habash, au kwa Mukebezi (mchezaji wa zamani Taifa Stars)...
Majengo Jijini Dodoma mpaka leo wanaoishi humo hujiona keki na wamuziwa lkn matengenezo bado sijui ni udogo wa kiwanja?Umenikumbusha Chumbageni Tanga...