boja
Member
- Nov 8, 2012
- 74
- 189
Natumai wanajamvi baada ya weekend ndeeefu kua ukingoni na kesho tunaendelea na majukum kama kawaida
Jamani mie nina Swali langu kama kichwa cha Habari kinavyojieleza hapo Juu.
Hizi Nyumba za Soth africa ambazo Naoana Diamond na Doctor Mwaka wamenunua uzuri wake na Bei kama haviendani kabisa...ama ndo kusema kule bulding material zipo chini?
Ama ndo kusema hizo nyumba ni old fashioned?
Ama ndo kusema sisi bongo hua tunapigwa?
Na je kuna uwezekano wa pesa hio ilio nunua hiyo mi Bangalooo South inaweza Jenga Bangaloo kama hilo Bongo ama kununua Bangaloo kama hilo.
1.Doctor Mwaka nyumba yake ni Milion 500 za kitanzania.
2. Diamond ni Milion 369 za kitanzania.
Jamani tueleweshane na mlio na uzoefu wa Real Estate tupeni maujanja.
Jamani mie nina Swali langu kama kichwa cha Habari kinavyojieleza hapo Juu.
Hizi Nyumba za Soth africa ambazo Naoana Diamond na Doctor Mwaka wamenunua uzuri wake na Bei kama haviendani kabisa...ama ndo kusema kule bulding material zipo chini?
Ama ndo kusema hizo nyumba ni old fashioned?
Ama ndo kusema sisi bongo hua tunapigwa?
Na je kuna uwezekano wa pesa hio ilio nunua hiyo mi Bangalooo South inaweza Jenga Bangaloo kama hilo Bongo ama kununua Bangaloo kama hilo.
1.Doctor Mwaka nyumba yake ni Milion 500 za kitanzania.
2. Diamond ni Milion 369 za kitanzania.
Jamani tueleweshane na mlio na uzoefu wa Real Estate tupeni maujanja.