mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,834
Kuwakumbusha kuwa wanaume hatutakiwi kuwa wambea.Kwa mfano muda unaoutumia humu na kuwajibu watu INAKUSAIDIA NINI .....??
Kuwakumbusha kuwa wanaume hatutakiwi kuwa wambea.Kwa mfano muda unaoutumia humu na kuwajibu watu INAKUSAIDIA NINI .....??
Mbona bongo wanasema huwezi kimiliki ardhi mpaka uwe raia na cheti cha kuzaliwa juu?Hela yako tu mama.unaweza kwenda kununua hata Dubai.
Bongo sheria zetu za kikoloni. Na hapo sio umiliki ni ukodishwaji wa ardhi...serikali ndio mmiliki! Hilo unaloliita eneo lako kiuhalisia umekodi toka serikalini.Mbona bongo wanasema huwezi kimiliki ardhi mpaka uwe raia na cheti cha kuzaliwa juu?
Mbona bongo wanasema huwezi kimiliki ardhi mpaka uwe raia na cheti cha kuzaliwa juu?
Hayo maneno tu.pesa ndo kila kitu.Mbona bongo wanasema huwezi kimiliki ardhi mpaka uwe raia na cheti cha kuzaliwa juu?
uchumi wa nchi unapokuwa mbovu watu watu wanaona kimbilio ni kuwekeza kwenye real estate. uwekezaji ukiwa unaongezeka, speculators nao wanaongezeka na gharama inashoot. bei ya nyumba bongo ni kubwa kupita kiasi.South africa nyumba ni bei rahis sn ukilinganisha na Tanzania tena zinaubora wote unao hitajika kujenga nyumba miondombinu yote ipo sawa sawa
Sasa cjui kwanin Tanzania mnauza nyumba bei kubwa ni kwa ajili ya nn? Hadi leo watu wenye akili timamu hawajapata jibu kwanini nyumba za Tanzania hasa Dar es salaam bei kubwa .
Tena hazina ubora wowote kutokana na miundombinu yenyew na sehem kubwa ni slum na bei juu .
Sasa tunaposikia fulani kapata HATIMILIKI ni magumashi?Bongo sheria zetu za kikoloni. Na hapo sio umiliki ni ukodishwaji wa ardhi...serikali ndio mmiliki! Hilo unaloliita eneo lako kiuhalisia umekodi toka serikalini.
Off course ni jibu!dah tunasafari ndefu sana, sasa hilo ndio jibu la swali liloulizwa?
Vipo vya kujadili lakini sio kwa mtindo huu Wa mada iliyokaa kiumbea umbea tuKwa mantiki hii unataka kusema tusijadili usivyovimiliki au vitu ambavyo wewe si mdau kwa mfano usijadili siasa za Kenya au Uganda kwavile hata huku kwako si mwanasiasa si ndio hoja yako .............???
ndioHivi tunaposikia fulani kanunua nyumba South ina maana sheria zao zinaruhusu mgeni kumiliki ardhi huko?
dalali anataka apate mara mbili zaidi ya mwenye maliSouth africa nyumba ni bei rahis sn ukilinganisha na Tanzania tena zinaubora wote unao hitajika kujenga nyumba miondombinu yote ipo sawa sawa
Sasa cjui kwanin Tanzania mnauza nyumba bei kubwa ni kwa ajili ya nn? Hadi leo watu wenye akili timamu hawajapata jibu kwanini nyumba za Tanzania hasa Dar es salaam bei kubwa .
Tena hazina ubora wowote kutokana na miundombinu yenyew na sehem kubwa ni slum na bei juu .
Mkuu shule ulipiga chabo nini au hukwenda kabisa?Tuanze na wewe mleta mada,una nyumba hapa tz au umepanga nyumba,vyumba au chumba au bado upo kwa wazazi au shemeji?
Ukijibu hapo ndipo tuanze kujadili masuala ya kununua nyumba s.africa
Kabisa unaona yanayojadiliwa ni maisha ya watu? Hapa kinachojadiliwa ni real estate market baina ya Tanzania na South Africa, kwanini nyumba South Africa zipo cheap compared to Tanzania?Hakuna umasikini mkubwa.kama kuacha kufanya yako.na kujadili maisha ya watu.