MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,009
- 2,166
Kikwete: Tutazirudisha baadhi ya nyumba za serikali zilizonunuliwa
By Habari Tanzania | Published 10/3/2006.
RAIS Jakaya Kikwete, amesema serikali yake imefikia uamuzi wa kuzirejesha baadhi ya nyumba za serikali zilizouzwa kwa watumishi wa umma baada ya kubaini kwamba zilijengwa katika mazingira nyeti.
Kikwete aliyasema hayo jana Ikulu jijini Dar es Salaam wakati alipokuwa akijibu maswali ya wahariri wakuu wa vyombo mbalimbali vya habari aliokutana nao chini ya kivuli cha utaratibu aliojipangia wa kuzungumza na wananchi kila mwishoni mwa mwezi.
Hatukusudii kuzichukua nyumba zotekwa mfano kuna OCD kauziwa nyumba ya OCD iliyo katika eneo la polisi, na yule OCD aliyeuziwa kahamishwa kutoka Mtwara kwenda Mafiaau kastaafu na nyumba kapangishaKwa kweli kuna maeneo ambayo lazima tufanye marekebisho, alisema Kikwete.
Ingawa hakufafanua iwapo uhakiki wa nyumba zitakazorejeshwa umeshafanyika au la, na wakati hasa utakapoanza utekelezwaji wa kazi hiyo, kauli yake hiyo imehitimisha minongono na malumbano ambayo yamekuwapo kwa muda sasa, kuhusu suala hilo.
................................. etc.
-----------------------------------------------------------
Ajira milioni moja hatujui kama zimefikiwa na ni vigumu kuzitetea. Hili la nyumba liko wazi. Halijatekelezwa. Mwaka huu tena tupewe ahadi zisizotekelezwa kwa jina la siasa?
By Habari Tanzania | Published 10/3/2006.
RAIS Jakaya Kikwete, amesema serikali yake imefikia uamuzi wa kuzirejesha baadhi ya nyumba za serikali zilizouzwa kwa watumishi wa umma baada ya kubaini kwamba zilijengwa katika mazingira nyeti.
Kikwete aliyasema hayo jana Ikulu jijini Dar es Salaam wakati alipokuwa akijibu maswali ya wahariri wakuu wa vyombo mbalimbali vya habari aliokutana nao chini ya kivuli cha utaratibu aliojipangia wa kuzungumza na wananchi kila mwishoni mwa mwezi.
Hatukusudii kuzichukua nyumba zotekwa mfano kuna OCD kauziwa nyumba ya OCD iliyo katika eneo la polisi, na yule OCD aliyeuziwa kahamishwa kutoka Mtwara kwenda Mafiaau kastaafu na nyumba kapangishaKwa kweli kuna maeneo ambayo lazima tufanye marekebisho, alisema Kikwete.
Ingawa hakufafanua iwapo uhakiki wa nyumba zitakazorejeshwa umeshafanyika au la, na wakati hasa utakapoanza utekelezwaji wa kazi hiyo, kauli yake hiyo imehitimisha minongono na malumbano ambayo yamekuwapo kwa muda sasa, kuhusu suala hilo.
................................. etc.
-----------------------------------------------------------
Ajira milioni moja hatujui kama zimefikiwa na ni vigumu kuzitetea. Hili la nyumba liko wazi. Halijatekelezwa. Mwaka huu tena tupewe ahadi zisizotekelezwa kwa jina la siasa?