mooduke
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 628
- 111
Jamani mimi nafikiri kwa kuwa nyumba za shirika la nyumba ni mali ya umma kwa nini Bunge lisitunge sheria kwamba watumishi wa umma kama walimu na madaktari kisheria wakapewa kipaumbele kupangishwa nyumba hizo kulinga na mahali anapofanyia kazi mtumishi huyo?