Nyumba za matajiri enzi za Malkia Victoria

Yeah....

Hata waafrika tulikuwa na hii class ya kuoana wenyewe kwa wenyewe nikimaanisha kabila na kabila na watoto hawakukaidi maana huna mahala utapata mwanamke umtakaye zaidi ya ulioishi nao kwenye kijiji kimoja au vijiji jirani vinavyoshirikiana.

Baada ya watu kuanza kutoka na kusoma shuleni na vyuoni ndo ikapunguza classes, mmatumbi anaolewa na mmakua.

Hapo mzazi mwenye sauti/nguvu ndo atakuwa kila likizo anapeleka wajukuu kwao. Muingiliano wa koo umeua Family culture inheritance, manners and sort of from one generation to another.
Ninakumbuka No Longer at Easy Okonkwo aliporudi Nigeria kutoka Ulaya alitaka kumuoa mwanamke anaevaa magauni na anaejua kupikia gas cooker, Wazazi walimtaarishia mchumba anaevaa wrapper (vitenge) ambae hajui hata gas cooker ni nini.
 
Kate ndiyo alikutana ana na William chuoni.


Ooh kumbe, basi nilipata stori chaka kuwa...

Meghan aliahirisha mwaka aingie chuo mwaka unaofuata baada ya kuona majina ya wanachuo waliokubaliwa kujiunga na chuo mwaka unaofuata mmoja wapo ni Prince.

Na mwaka uliofuata alihaha hadi akapata chumba cha hostel karibu na Prince ili aweke ukaribu na kujenga urafiki.

Kumbe ilikuwa ni Kate, thanks for clarity.
 
Ooh kumbe, basi nilipata stori chaka kuwa...

Meghan aliahirisha mwaka aingie chuo mwaka unaofuata baada ya kuona majina ya wanachuo waliokubaliwa kujiunga na chuo mwaka unaofuata mmoja wapo ni Prince.

Na mwaka uliofuata alihaha hadi akapata chumba cha hostel karibu na Prince ili aweke ukaribu na kujenga urafiki.

Kumbe ilikuwa ni Kate, thanks for clarity.
Hii story ni sahihi lakini si Meghan ni Kate. Huyu Mswahili wetu anaechamba wakwe zake kwenye TV alikutana na Prince kupitia marafiki.
 
Ninakumbuka No Longer at Easy Okonkwo aliporudi Nigeria kutoka Ulaya alitaka kumuoa mwanamke anaevaa magauni na anaejua kupikia gas cooker, Wazazi walimtaarishia mchumba anaevaa wrapper (vitenge) ambae hajui hata gas cooker ni nini.

Ooh sikubahatika kukisoma hicho, wakati wangu wa literature tulisoma vingine baada ya kuona watunzi wa mitihani wanarudia maswali yaleyale.
 
Hii story ni sahihi lakini si Meghan ni Kate. Huyu Mswahili wetu anaechamba wakwe zake kwenye TV alikutana na Prince kupitia marafiki.

Ooh kumbeee...

Nae kamkamata Prince pabayaaa

Kweli waafrika wamoto aahahahaha, Prince kila akipiga anasema achilia mbali ufalme, kumbe ndo tamu namna hii aahahahahahahhahaaa looh.
 
Hiyo ndiyo wanaita gothic architecture? Ila wazungu wanajua sana kujenga na tutofali twao tule tudogo. Wabongo ni wapanga tofali tu. Juu wanapiga tiles ambazo hazivuji miaka na miaka na ni rafiki kwenye joto na baridi. Dar wangekuwa wanaezekea tiles wangekuwa hawalalamiki joto kabisa.

Na kama mdau alivyosema huko juu, mighorofa haieleweki na mialuminium iliyokosa class, mi naona kama mialuminium ni ushamba kabisa. Wenzetu wanajua sana kujenga.
 
View attachment 1783251

Nyumba ilikua na basement au sakafu ya chini. Hii ilikua na wine seller , jiko la familia, chumba cha baridi kwa kuhifadhia nyama, vyoo na mabafu ya wafanya kazi dining ya wafanya kazi pamoja na vyumba vya kukala. Wafanya kazi walijumlisha House Keeper, Butlers, Chef, dereva na maids.

Ground Floor ilikua na reception, dining, na ballroom. Hapa ndipo familia iliishia, wanafamilia hawakuwa wanashuka kwenda basement. Dining iliweza kuchukua watu 20+ na baada ya chakula live performance iliwakaribisha ballroom.

Juu ilikua ni vyumba vya kulala.

Wengi walioishi maisha haya ni wafanyabiashara na wakulima wakubwa. Wale waliofanya biashara za utumwa, kuuza nafaka na wakulima wakubwa.
Wine cellar
 
Hiyo ndiyo wanaita gothic architecture? Ila wazungu wanajua sana kujenga na tutofali twao tule tudogo. Wabongo ni wapanga tofali tu. Juu wanapiga tiles ambazo hazivuji miaka na miaka na ni rafiki kwenye joto na baridi. Dar wangekuwa wanaezekea tiles wangekuwa hawalalamiki joto kabisa.

Na kama mdau alivyosema huko juu, mighorofa haieleweki na mialuminium iliyokosa class, mi naona kama mialuminium ni ushamba kabisa. Wenzetu wanajua sana kujenga.
Kuezeka kwa tiles msingi ni lazima uwe imara, ni kama unajenga nyumba nzima ardhini. Wengi wetu budget ya kujenga ni hizi milioni tano za hapa na pale unaunganisha.
 
Like huko basement ni vyumba vya kulala wafanyakazi??

Mie nilivyo mfyekuneku... nyumba yangu mwenyewe halafu nisifike eneo hilo sababu ni classes mweeeh bora tuu nnavyokaa huku mbagala chumba kimoja unafika pande zote za chumba
We Kasie!
Umenichekesha sana Mkuu!
 
View attachment 1783251

Nyumba ilikua na basement au sakafu ya chini. Hii ilikua na wine seller , jiko la familia, chumba cha baridi kwa kuhifadhia nyama, vyoo na mabafu ya wafanya kazi dining ya wafanya kazi pamoja na vyumba vya kukala. Wafanya kazi walijumlisha House Keeper, Butlers, Chef, dereva na maids.

Ground Floor ilikua na reception, dining, na ballroom. Hapa ndipo familia iliishia, wanafamilia hawakuwa wanashuka kwenda basement. Dining iliweza kuchukua watu 20+ na baada ya chakula live performance iliwakaribisha ballroom.

Juu ilikua ni vyumba vya kulala.

Wengi walioishi maisha haya ni wafanyabiashara na wakulima wakubwa. Wale waliofanya biashara za utumwa, kuuza nafaka na wakulima wakubwa.
Ok
 
Back
Top Bottom