zamtaya_pr
Senior Member
- Jun 29, 2015
- 140
- 45
Wakuu habari na poleni na majukumu. Kwa heshima na taadhima naomba mwenye kujua utaratibu utakaoniwezesha kupata nyumba ya kupanga ya nhc ndani ya Dar es salaam kwa gharama ya kitanzania, nyumba yenye vyumba viwili na sebule. Nashukuru sana. Kwa msaada tuwasiliane pm.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app