Fomu tunapata wapi?Kuna form za maombi unajaza zinapatikana ofisini kwao na mtandaoni ingawa sina hakika na hili la pili,
Ila kupata hizo nyumba ni ngumu sana ukiwa mbongo utakutana na foleni kubwa, yaan utaambiwa subiri wahame watu na unapewa list iliyoko pending....
Wahindi wao ni easy tuu, wakiomba leo kesho wanahamia
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Wahindi wao wanapatajeKuna form za maombi unajaza zinapatikana ofisini kwao na mtandaoni ingawa sina hakika na hili la pili,
Ila kupata hizo nyumba ni ngumu sana ukiwa mbongo utakutana na foleni kubwa, yaan utaambiwa subiri wahame watu na unapewa list iliyoko pending.
Wahindi wao ni easy tuu, wakiomba leo kesho wanahamia