Watu hudai hana mara anaye, I'm not sure kwa kweli
Makinda ana mtoto Mmoja Alizaa na marehemu Prof. Ndunguru alipokuwa Morogoro!! Huyu binti alilelewa na mdogo wake kule Marekani mke wa Tenende.
Watu hudai hana mara anaye, I'm not sure kwa kweli
Ndugai anakatiziwa denge!Kwanini zipigwe mnada?
Tamaa?Halafu ana mtoto mmoja tu tena Binti. Majumba mengi ya Nini?
Hayo mamilioni ya pensheni tunayoambiwa wanalipwa aliyaweka wapi? Mana walishajipendelea kujipa malipo manono sasa iweje serikali imsaidie. Apambane na hali yake.Salaam Wakuu,
Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.
Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.
Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?
Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
Stress zote hizo za nini.Majumba mengi kazi kuwalipa walinzi tu,hata kulala halali nikuzunguka tu kwa sensaHuyu mama sijui anapigagaje hesabu zake. Anapenda mamikopo sana, hawa ni Azania wamemning'inia na NBC wanamdai kila siku wanataka kupiga mnada nyumba yake anawapooza.
Wewe hapo ndo hauelewi mdaiwa ni Anna Makinda lakini hivyo viwanja mmiliki ni Tony Kenan Makinda possibility ni huyo maza alikopea hati ya mtu mwingine ( ndugu yake ) na hajalipa deni...kila kitu kiameandikwa hapoAnayedaiwa ni TONY KENAN MAKINDA jamani siyo ANNA SEMAMBA MAKINDA! Mleta uzi atueleze kama hao, yaani Tony Kenan Makinda na Anna Semamba Makinda "ni MTU MMOJA"!
Wavipige mnada tu maana siyo jasho lakePesa zake zinaishia kwa waganga,mikopo kila sehemu,bado nyumba ya kijitonyama polisi mabatni kila siku watu wa bank wanakuja
Umeleta tangazo halafu umeleta ujinga eti kwa nini asisamehewe, je kwanini asamehewe? utupe sababu, ili pia wengine ambao nao nyumba zao zinapigwa mnada pia nao wasamehewe kama Makinda.Salaam Wakuu,
Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.
Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.
Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?
Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
Ya kuchukulia mikopo mkuuHalafu ana mtoto mmoja tu tena Binti. Majumba mengi ya Nini?
Matajiri ni wajanja, wanaweka collateral nyumba zisizolingana na mkopo, ukiuza hana hasaraInashangaza mama makinda mali zake kupigwa mnada kwa sababu ni tajiri mkubwa.
Kwani Kenan Makinda ndio Anna Makinda ?Salaam Wakuu,
Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.
Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.
Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?
Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
Kenan Makinda ni kaka wa Anne Makinda na pia ni Captain mstaafu wa jeshi lakini pia ni Rubani mstaafu amestaafu wakat akirusha fly Emirates.
Kenan Makinda ni baba mzazi wa Tony Makinda.
Tubaweza tukadhani ni Tajiri mkubwa kumbe Hanna kitu! Ni mapokeo tu.,.Ni kweli kabisa kwa Ile retirement package tuliyoambiwa majuzi, labda kama alikuwa na mikopo ya mabilioni...
Frustrated group. 😄😄😄Huyu Mama akiwa spika...alipigania marupurupu yao hadi yakapanda mara mia....
Aliwahi sema wabunge ni very frustrated group! Sijawahi sahau hii kauli.