heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 5,711
- 8,640
Hahaha uyo anainunua mwenyewe anatuma tu mtu anaenda na pesa kwisha habari
Possibly ipo nguvu ya kiza,how is this madam,can I marry you?Kichwa chako kikiota nywele nyingi hukulazimu kuzipunguza, hana mume wala mtoto.
Nimekwisha elewa jamani, msinitoe roho bure!Wewe hapo ndo hauelewi mdaiwa ni Anna Makinda lakini hivyo viwanja mmiliki ni Tony Kenan Makinda possibility ni huyo maza alikopea hati ya mtu mwingine ( ndugu yake ) na hajalipa deni...kila kitu kiameandikwa hapo
3Salaam Wakuu,
Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.
Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.
Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?
Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927