AMARIDONG
JF-Expert Member
- Jun 24, 2010
- 2,502
- 180
ha ha ha ha aha umerifurahisha kweli eqlypz yaani mboksi?wenzio wamechimbia "bilioni 4" we wasema mboksi>??
iteitei lya kite???du hii kali sana ngitereo ufule iteitei lya kitimoto
ha ha ha ha aha umerifurahisha kweli eqlypz yaani mboksi?wenzio wamechimbia "bilioni 4" we wasema mboksi>??
Umbeya/wivu huo, hiyo nyumba iko wapi na nani kaithaminisha.
Hiyo nyumba ya billion nne inakaaje?
Mkataba wake ni pamoja na RE, interior furnishing ikiwa ni pamoja na home electronic gadgets na security systems au?
jamani haya ni kweli hizi pesa zote kazitoa wapi wakati watanzania wanakufa na njaa mungu wangu
jamani haya ni kweli hizi pesa zote kazitoa wapi wakati watanzania wanakufa na njaa mungu wangu
jamani haya ni kweli hizi pesa zote kazitoa wapi wakati watanzania wanakufa na njaa mungu wangu