Degelingi_One
Member
- Nov 17, 2018
- 72
- 121
Habari wakuu humu ndani.
Mimi ni mfanyakazi wa serikali nipo Dodoma kikazi. Nina nyumba yangu mkoani Iringa.
Baba alishawahi kuchukulia mkopo katika bank ya NMB. Leo wakati natoka kazini nimepigiwa simu na mpangaji wangu kuwa nmb wamefika nyumbani na kuchora tangazo "Nyumba inauzwa".
Jamaani wataalamu wa mambo haya naomba ushauri nifanyaje?
Natanguliza shukrani
Mimi ni mfanyakazi wa serikali nipo Dodoma kikazi. Nina nyumba yangu mkoani Iringa.
Baba alishawahi kuchukulia mkopo katika bank ya NMB. Leo wakati natoka kazini nimepigiwa simu na mpangaji wangu kuwa nmb wamefika nyumbani na kuchora tangazo "Nyumba inauzwa".
Jamaani wataalamu wa mambo haya naomba ushauri nifanyaje?
Natanguliza shukrani