jsang
Member
- May 2, 2015
- 10
- 1
Nataka iwe ya kisasa na Lengo ni kuiongeza chumba cha kulala na dinning room na kupanua jikon, pamoja nipate na store, . Ilivyo kwasasa ndio hivyo Ktk picha na ramani ya sasa ndio hiyo iliyozungushiwa rangi nyekundu na ninavyoitaji iwe ni hiyo ramani ambayo haina rangi
Iwe ya box kama hiyo chini
Msaada kwa wale wataalam na wazoefu Ktk ufundi
Iwe ya box kama hiyo chini
Msaada kwa wale wataalam na wazoefu Ktk ufundi