Powder
JF-Expert Member
- Jan 6, 2016
- 4,417
- 5,441
Si nasikia Bank za Kiislam hazina Riba?Islamic banking ndio habari ya mujini.
Si nasikia Bank za Kiislam hazina Riba?Islamic banking ndio habari ya mujini.
mi nilivyoona mkopo unanishinda nilitafuta wateja bila kujua kama nadaiwa na bank na wateja walijitokeza wengi mwisho wa siku akajitokeza mnunuzi nikamweleza ukweli kuwa nadaiwa na bank ya kcb na akakubali nikampeleka bank akaweka pesa kwenye a/c wakakata chao zilizobaki nikadrow nikafanyia mambo yangu na hakuna matangazo wala jirani hakujua
Bado sijaamini huo mnada.
Duuu umerudi kwenye kupanga mkuu au mungu kakupaa zaidi ya hyoohakuna ajabu hapo,
hata yangu benki ya posta walishauza, nilipata chenji ya elfu ishirini na sita tu, wakati niliijenga kwa zaidi ya m27 na deni langu lilikuwa m12
KabisaaaaaaaaaaaaIla hatuisomi namba Wote ndio tatizo., hata Huyo aliyetaja 880m ni mtanzania pia. So kuisoma namba ni kauli ya kujifariji kwa baadhi ya watu. Ndio sababu huwa tunasema usiseme watu hawana hela ila sema Mimi sina hela
Pesa ya majini hainaga cha uchumi kuyumba wala kuisoma namba! Huwa zipo tu msimu wote as long as una comply na masharti!hiv na hao wanaotoa mil 800 wanazitoa wapi
basi nmekuelwa mkuu kumbe kuna kada haziisomi nambaPesa ya majini hainaga cha uchumi kuyumba wala kuisoma namba! Huwa zipo tu msimu wote as long as una comply na masharti!
Ndo ivo!basi nmekuelwa mkuu kumbe kuna kada haziisomi namba
Mkuu huko hawatoi pesa, ingekuwa hivyo waislam wasingekopa mabenk mengine. Kule wanatoa vifaa tu. Kama unataka kujenga watakupa vifaa, ukitaka gari utapewa lakini pesa hutapata.nasikia wanaruhusiwa, ila wanashauriwa kuto kwenda kufanya biashara ambazo wao wanaziona hazifai (haram) mfano kufungua baa.
nilikuwa na mbiliDuuu umerudi kwenye kupanga mkuu au mungu kakupaa zaidi ya hyoo
Kama kuna mazingira ya kuaminiana inawezekana.Kwahiyo kwa kifupi asingeweza kuuza nyumba ambayo iko kwenye dhamana ya mkopo na hati ziko bank, sijui maelezo yako ulitaka kusema nini, maana naona umekwenda na baadaye unarudi kwenye kuonyesha ugumu wa kuuza. Why wasting time mkuu!!!
Unapochukulia mkopo hati hushikiliwa na taasisi husika(BANK)nimejifunza kitu
Si lazima uwe muislam.Islamic bank haina maana lazima uwe muisilamu mtu yoyote anaweza kufungua akaunti na kupewa huduma.
lakini ukifuatilia biashara zote zipo katika mfumo wa riba tu.Tumeonywa juu ya riba ila hatukusikia.
Zinauzika sana labda wewe hujui tuKwahiyo kwa kifupi asingeweza kuuza nyumba ambayo iko kwenye dhamana ya mkopo na hati ziko bank, sijui maelezo yako ulitaka kusema nini, maana naona umekwenda na baadaye unarudi kwenye kuonyesha ugumu wa kuuza. Why wasting time mkuu!!!