jeovasanctus
Member
- Aug 6, 2017
- 8
- 2
Predictive programming
Wale wapenzi wa cartoon hapa mtakuwa mshajua cartoon ya the simpsons.
View attachment 1872574
Kipindi hiki kilianza : 17 Desemba 1989
Mtayarishi wa kipindi: Matt Groening
Mtunzi huyu yupo nyuma ya nani kueleza wakati mda yanaelezwa kwenye kipindi chake ndio yanaotokea kama gonjwa la corona,kuwa na mgombea mwanamke marekani,kifo cha flyoid,vurugu za marekani kipindi cha dornad trump,majengo pacha kulipuliwa na vingi.
Mfano View attachment 1872579
Episod moja inaonyesha wachina wakisambaza ugonjwa wa hewa na kusabibisha kutapakaa gonjwa hilo kwa makusudi na leo ni kweli (covid-19)
View attachment 1872580
Episod fulani inaonyesha kunapolisi sehemu ya cartoon hii alikuwa anawachukia watu weusi na kuwafanyia kama kile kitendo alicho fanyiwa flyoid george wakati huku bango kwenye cartoon likuwa lina mwisho wa george tu 2009.
View attachment 1872583
Episod moja huko marekani mwaka 2020 walishawahi kukata kichwa cha sanamu ambalo sijui alikuwa na mchango gani ?
View attachment 1872584
Kuna episod moja hii naweza kuipa asilimia kubwa ikionyesha karatasi ikianza pesa $9 mwisho mchoro (9/11)
Na kweli na hiyo ndiyo ilikuwa tarehee ya shambulizi.
View attachment 1872587
Episod moja binti wafamilia ya hiyo cartoon alikuwa anaonyesha kutaka uraisi.na leo wanawake wengi marekani wamejaribu kugombea.
View attachment 1872590
Hii episod inaonyesha kuwa kuna raisi kichaa ambaye ndio tramp na ilimtabiri ikawa kweli na kuonesha ushirikiano kati ya waarabu ambayo saudia
Zipo nyingi sana.
Sasa watu wengi wanasema huyu mtunzi yupo nyuma ya nani
Mimi ninavyofahamu ni kwamba sanaa ni kioo cha mambo yanayotokea Kila siku,mfano hilo tukio la mmarekani mweusi kuuwawa na polisi mzungu,tukio hilo limejirudia,miaka ya 80 huko Marekani zilitokea vurugu kubwa sana kwenye baadhi ya miji kuna black man alikuwa ameuwawa na polisi mzungu kwa kuonewa,kwa hiyo huyo mchora katuni wa hizo katuni za Simpsons hakutabiri,alieleza kilichokwisha tokea na kinaendelea yaani bifu la wazungu na weusi lipo siku zote japo chini kwa chini,kuhusu Marekani kuwa na raisi kichaa bado haijatokea,labda kwa wale wasiompenda Trump watamwita kichaa,ila kiukweli bilionea yule si kichaa wala hana medical record yoyote ya ukichaa,kuhusu utabiri wa ugonjwa wa Corona riwaya kadhaa na filamu za kisayansi (science fiction) miaka ya nyuma zimewahi kuwa na stori ya namna hiyo inayoelezea dunia kukumbwa na gonjwa baya.Ninahisi mambo mengi uliyoyataja hajatoka kwenye hizo cartoon bali yametengenezwa baada ya kutokea kuonyesha kuwa yametoka hizo cartoon. Yani picha zimetengenezwa siyo aprt ya hizo cartoon. Ndiyo yapo mengi yametabiriwa na Simpsons, lakini picha nyingi ulizotumia hapo juu ni fake
Kwahiyo unahisi corona ni gonjwa hatariMimi ninavyofahamu ni kwamba sanaa ni kioo cha mambo yanayotokea Kila siku,mfano hilo tukio la mmarekani mweusi kuuwawa na polisi mzungu,tukio hilo limejirudia,miaka ya 80 huko Marekani zilitokea vurugu kubwa sana kwenye baadhi ya miji kuna black man alikuwa ameuwawa na polisi mzungu kwa kuonewa,kwa hiyo huyo mchora katuni wa hizo katuni za Simpsons hakutabiri,alieleza kilichokwisha tokea na kinaendelea yaani bifu la wazungu na weusi lipo siku zote japo chini kwa chini,kuhusu Marekani kuwa na raisi kichaa bado haijatokea,labda kwa wale wasiompenda Trump watamwita kichaa,ila kiukweli bilionea yule si kichaa wala hana medical record yoyote ya ukichaa,kuhusu utabiri wa ugonjwa wa Corona riwaya kadhaa na filamu za kisayansi (science fiction) miaka ya nyuma zimewahi kuwa na stori ya namna hiyo inayoelezea dunia kukumbwa na gonjwa baya.