Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,169
Mada iliyoko mezani si ni nyumba za serikali kuuzwa kwa bei ya kutupwa? Wee unaona vizuri mahawara kugawiwa nyumba zetu kama njugu? Nakuuliza wewe chiroptera na duck billed platypus
Mmenikumbusha mbali sana ila bahati mbaya watu hawaoni tu.......serikali yenyewe ikitaka kuchukua maeneo ya watu kwa maslahi ya Taifa unakuta inalalia bei ambapo nyumba ya milioni 120,000 mtu anapewa milioni 40,000..Nyumba alizouza Magufuli ziliuzwa bei gani na zilikuwa na thamani gani?
..UFISADI uliofanyika hapo hauna tofauti na ufisadi aliofanya Magufuli wakati akiwa waziri wa ujenzi.