Nyumba ya Serikali yenye thamani ya Sh 1.2 bilioni yauzwa kwa mfanyabiashara kwa Milioni 130. Waziri Lukuvi alia na watendaji, amkabidhi DCI

Linapokuja suala la uwajibikaji kwenye utekelezaji wa maamuzi yoyote ya baraza la mawaziri, then uamuzi huo unatumia kanuni ya a collective responsibility, hapa Magufuli alikuwa ni mtekelezaji tuu na alitimiza wajibu wake kikamilifu.
P

..naomba kutofautiana na wewe.

..Collective responsibility maana yake ni kuwa waziri hawezi kupingana na uamuzi wa baraza huku akiendelea kushika nafasi yake.

..haimaanishi kwamba akitekeleza uamuzi fulani na ukaliletea taifa hasara hatastahili lawama au hatawajibika.

..Na maamuzi ya baraza la mawaziri hutokana na mapendekezo ya waziri husika ktk kikao cha baraza na mawaziri.

..Na cabinet ikiamua, na waziri mhusika akakubali kutekeleza, mambo yakienda mrama.waziri hawezi kukwepa lawama kwa kudai ulikuwa ni uamuzi wa baraza.

..Pia baraza la mawaziri likiamua, na waziri husika akatekeleza, na matokeo yakawa mazuri, waziri mhusika hupewa kongole. Hatuwezi kumnyima sifa na badala yake tukalipongeza baraza la mawaziri.

..Mwisho, suala hili ni sawa na Polisi aliyefyatua risasi na ikaua raia asiye na hatia. Utetezi kwamba aliamriwa na kamanda wake hautoshi kumuepusha na hatia.
 
hahahah ndio maana Mungu katuumba kila mtu na mawazo na akili yake..tatizo lako unadhani kila mtu anafikiri kama unavyo fikiri wewe...inawezekanaje hii.imposibo.jomba.
Mimi siwezi kuwa na akili za kijinga kama hizo. Yaani huyo upupu ulioandika unataka kutuaminisha kwamba kama TL angekufa basi uchunguzi usingefanyika.

Kama kuna watu wanafikiria hivo basi Mungu awasaidie. Lakini mtu mwenye akili timamu hawezi kuwaza upupu kama huo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe umekuwa mahakama?
Kelele zote unazopiga za nini? Kuwa walipewa, walihongwa. Unafanya mambo kwa ushabiki.Nyie ndio kundi la watu mnaoletea matatizo mmiliki wa Jamii forums.Wazee wa kazi wakimbana atoe Id zako ili ukatoe ushahidi mahakamani what do you espect?
 
Kele zote unazopiga za nini? Kuwa walipewa, walihongwa. Unafanya mambo kwa ushabiki.Nyie ndio kundi la watu mnaoletea matatizo mmiliki wa Jamii forums.Wazee wa kazi wakimbana atoe Id zako ili ukatoe ushahidi mahakamani what do you espect?
Eti "what do you ESPECT" ndiyo nini??? wewe ndo unaomba ushahidi kwa lugha hiyo????!!!!
 
Acheni huu ujinga wakuhamisha magoli kama alikuwa haafiki mbona hakujiuzuru
na mbona sasa amekuwa Rais umeshawahi kumsikia akiongelea hilo
Is that how it works, to have a minister who makes a decision like that on his own?
Nafikiri anayebeba huo mzigo ni Rais wa wakati ule na baraza lake la mawaziri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo kukariri mambo kama unavyokaririshwa .walipewa nyumba.... Espect na expect ni the same difference
Kwa uelewa huo sina sababu ya kuendelea kubishana na wewe. Unachoelewa ni kukaririshwa na si vinginevyo. Unafikiri kila mtu yuko kama wewe unayemuona jiwe ni mtu wa kuifikisha Tanzania nchi ya ahadi kwa sarakasi zake! Endelea kuota!
 
Brother so
..naomba kutofautiana na wewe.

..Collective responsibility maana yake ni kuwa waziri hawezi kupingana na uamuzi wa baraza huku akiendelea kushika nafasi yake.

..haimaanishi kwamba akitekeleza uamuzi fulani na ukaliletea taifa hasara hatastahili lawama au hatawajibika.

..Na maamuzi ya baraza la mawaziri hutokana na mapendekezo ya waziri husika ktk kikao cha baraza na mawaziri.

..Na cabinet ikiamua, na waziri mhusika akakubali kutekeleza, mambo yakienda mrama.waziri hawezi kukwepa lawama kwa kudai ulikuwa ni uamuzi wa baraza.

..Pia baraza la mawaziri likiamua, na waziri husika akatekeleza, na matokeo yakawa mazuri, waziri mhusika hupewa kongole. Hatuwezi kumnyima sifa na badala yake tukalipongeza baraza la mawaziri.

..Mwisho, suala hili ni sawa na Polisi aliyefyatua risasi na ikaua raia asiye na hatia. Utetezi kwamba aliamriwa na kamanda wake hautoshi kumuepusha na hatia.
Brother soma katiba ya JMT ibara ya 53(2) ipo wazi kabisa ...and Ministers under the leadership of the prime minister shall be collectively responsible in the National Assembly for the execution of the affairs of the Government of the United Republic.
Kwa hiyo hata katika maamuzi na utendaji kuna collective responsibility. Ndio maana wanafanya kazi kwa ushiriano. Ishu ni namna gani waziri fulani anatekeleza majukumu yake kama waziri.

Kumbuka pia kuna ministerial responsibility hapo ndipo waziri anawajibika kiutendaji kwenye wizara yake. Kuhusu nyumba lilikuwa ni maamuzi ya baraza la mawaziri na lilitekelezwa vizuri. Haya mengine ni kupakana matope. Hoja kubwa kipindi kile ilikuwa nyumba zimechakaa na zilijengwa kipindi cha mkoloni. Serikali ilisema itauza zile zilizochakaa na zitajengwa mpya.
 
O
Kwa uelewa huo sina sababu ya kuendelea kubishana na wewe.Unachoelewa ni kukaririshwa na si vinginevyo.Unafikiri kila mtu yuko kama wewe unayemuona jiwe ni mtu wa kuifikisha Tanzania nchi ya ahadi kwa sarakasi zake! Endelea kuota!
Habari za kufikishwa nchi ya ahadi na jiwe zimetoka wapi?
 
Si huyo ndo unajaribu kumsafisha na kutaka ushahidi ili awe msafi? Ina maana unamkubali kwa yote afanyayo licha ya DOA LA NYUMBA?
Kwa hiyo hata kama mnachafua tukubali tu hata kama ni uongo. Uliza alipokuwa waziri wa ujenzi gari ngapi ambazo zilikuwa zinapotea baada ya miradi ya muda ya wafadhili kuisha. Gari nyingi zilikuwa zinasajiliwa kwa namba binafsi, yeye ndio alileta idea zipewe usajili wa DFP ili miradi ikiiisha zirudi serikalini.

Leo hii aje ahonge nyumba mbili. Unajua Magari mangapi ameyaokoa ambayo watu walikuwa wanajichulia miradi ikiisha?
 
Kwa hiyo hata kama mnachafua tukubali tu hata kama ni uongo. Uliza alipokuwa waziri wa ujenzi gari ngapi ambazo zilikuwa zinapotea baada ya miradi ya muda ya wafadhili kuisha .Gari nyingi zilikuwa zinasajiliwa kwa namba binafsi Yeye ndio alileta idea zipewe usajili wa DFP ili miradi ikiiisha zirudi serikalini.
Leo hii aje ahonge nyumba mbili.
Unajua Magari mangapi ameyaokoa ambayo watu walikuwa wanajichulia miradi ikiisha?
Ya magari yametoka wapi? Tunajadili nyumba!
NB: Unaweza chafua kinyesi?
 
..tunapozungumzia uuzwaji wa nyumba za serikali yeye ndiye FISADI MKUBWA kuliko wote.

..tena alidanganya bungeni kuwa serikali itapata faida na mapato ya kujenga nyumba nyingi zaidi.

..na alisimamia uuzwaji wa nyumba za serikali nchi nzima kwa bei ya kutupa / hasara.
Mna bahati mko na fake id, otherwise ungeshikwa uende Ku prove your allegations mahakamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom