Nyumba ya Mwalimu Nyerere Msasani inatakiwa kubomolewa

mdukuzi

JF-Expert Member
Jan 4, 2014
16,039
35,921
Kama kweli hakuna double standard katika nchii hii basi nyumba ya Mwalimu Nyerere pale msasani nayo inatakiwa kuwekewwa X tayari kwa kubomolewa tarehe 5,kwani nyumba hii inakiuka sheria ya mipango miji iko ndani ya mita 60 toka baharini,JPM ukibomoa nyumba hii nitakuona wewe ni bonge la Rais na na najua unaweza kma jengo la Tanesco makao makuu kidogo ulipige nyundo hii itakushindaje
 
Kama kweli hakuna double standard katika nchii hii basi nyumba ya Mwalimu Nyerere pale msasani nayo inatakiwa kuwekewwa X tayari kwa kubomolewa tarehe 5,kwani nyumba hii inakiuka sheria ya mipango miji iko ndani ya mita 60 toka baharini,JPM ukibomoa nyumba hii nitakuona wewe ni bonge la Rais na na najua unaweza kma jengo la Tanesco makao makuu kidogo ulipige nyundo hii itakushindaje
Acha ungese wewe fala, kazungushe mikono yenu huku ukichunga ng'ombe Monduli
 
Kama kweli hakuna double standard katika nchii hii basi nyumba ya Mwalimu Nyerere pale msasani nayo inatakiwa kuwekewwa X tayari kwa kubomolewa tarehe 5,kwani nyumba hii inakiuka sheria ya mipango miji iko ndani ya mita 60 toka baharini,JPM ukibomoa nyumba hii nitakuona wewe ni bonge la Rais na na najua unaweza kma jengo la Tanesco makao makuu kidogo ulipige nyundo hii itakushindaje
.....unapiyapima meno ya mbwa ktk kujaribu kutafuna mfupa wa chuma cha pua ehee!!
 
Usikute wanaobomolowe hawajaichangia ccm kipindi cha kampeni,wameanza uswekeni(uswazi) ili kuwapoteza maboya walio-targetiwa.
 
mayit be testamonial/
kama itakuwa imekiuka sheria na mkaicha nasi zote NA ZISIGUSWE!!
 
Kama kweli hakuna double standard katika nchii hii basi nyumba ya Mwalimu Nyerere pale msasani nayo inatakiwa kuwekewwa X tayari kwa kubomolewa tarehe 5,kwani nyumba hii inakiuka sheria ya mipango miji iko ndani ya mita 60 toka baharini,JPM ukibomoa nyumba hii nitakuona wewe ni bonge la Rais na na najua unaweza kma jengo la Tanesco makao makuu kidogo ulipige nyundo hii itakushindaje
Kama lilivyomshinda hilo jengo la TANESCO na hili litamshinda hivyo hivyo! Kuna nyumba zingine bahari ndo imezifuata hata kama zilikuwa umbali wa mita 200 sasa hivi zimo ndani ya mita 60, huyu anayeagiza kuvunja lazima aangalie na hayo ili kama kulipwa fidia watu walipwe! Ni upumbav kuzingatia sheria huku sheria hizo hizo zikiminya haki za raia!
 
Kama kweli hakuna double standard katika nchii hii basi nyumba ya Mwalimu Nyerere pale msasani nayo inatakiwa kuwekewwa X tayari kwa kubomolewa tarehe 5,kwani nyumba hii inakiuka sheria ya mipango miji iko ndani ya mita 60 toka baharini,JPM ukibomoa nyumba hii nitakuona wewe ni bonge la Rais na na najua unaweza kma jengo la Tanesco makao makuu kidogo ulipige nyundo hii itakushindaje
Hilo jengo la tanesco bado deni lake linapwa sasa ukibomoa balaa lake ni hatari utalipa pesa hizo ambazo hutotaka sikia tena, usione kauchuna kulibomoa ukadhani ni rahisi rahisi tu. Sasa huko kwa Nyerere mmh utasika busara zitumike
 
Kama kweli hakuna double standard katika nchii hii basi nyumba ya Mwalimu Nyerere pale msasani nayo inatakiwa kuwekewwa X tayari kwa kubomolewa tarehe 5,kwani nyumba hii inakiuka sheria ya mipango miji iko ndani ya mita 60 toka baharini,JPM ukibomoa nyumba hii nitakuona wewe ni bonge la Rais na na najua unaweza kma jengo la Tanesco makao makuu kidogo ulipige nyundo hii itakushindaje
Hiyo sheria ya mita 60 ni ya kufikirika kwa maana ikitekelezwa kwa haki hakuna kitakachosalia anzia soko la ferry, ikulu, majengo yote eneo la ocean road, hospitali ya Agakhan, na yote yalioko kulia mwa barabara hadi kituo cha polisi selender. Sheria hii ni ya kibaguzi na iko kinyume na katiba ya nchi inayotaka pasiwepo ubaguzi katika kutenda haki. Sijui wasomi wetu wa sheria wako wapi; kwa sheria hii hakuna hoteli hata moja iliyoko kwenye fukwe za bahari inayoweza kuponea.
 
Kama kweli hakuna double standard katika nchii hii basi nyumba ya Mwalimu Nyerere pale msasani nayo inatakiwa kuwekewwa X tayari kwa kubomolewa tarehe 5,kwani nyumba hii inakiuka sheria ya mipango miji iko ndani ya mita 60 toka baharini,JPM ukibomoa nyumba hii nitakuona wewe ni bonge la Rais na na najua unaweza kma jengo la Tanesco makao makuu kidogo ulipige nyundo hii itakushindaje



sawa tu, na yeye siAlidhulumu na kutaifisha mali za watu sasa unategemea nini kifanyike malipo hapahapa duniani
 
Hiyo sheria ya mita 60 ni ya kufikirika kwa maana ikitekelezwa kwa haki hakuna kitakachosalia anzia soko la ferry, ikulu, majengo yote eneo la ocean road, hospitali ya Agakhan, na yote yalioko kulia mwa barabara hadi kituo cha polisi selender. Sheria hii ni ya kibaguzi na iko kinyume na katiba ya nchi inayotaka pasiwepo ubaguzi katika kutenda haki. Sijui wasomi wetu wa sheria wako wapi; kwa sheria hii hakuna hoteli hata moja iliyoko kwenye fukwe za bahari inayoweza kuponea.
naunga mkono hoja mkuu sijui nania alitunga hii sheria ,ulaya tunaona nyumba ziko ndani ya maji,pembe kuna chumba cha hotel kiko majini kabisa ,ni kweli kwa muktadha huo hoteli nyingi za kitalii dar zinatakiwa kuvunjwa,sheria ya ajabu kabisa hiii
 
Swala sio historia, kama ni kweli piga chini, lakini isiwe siasa mshenzi
 
There are exceptions to every general Rule..

Mwacheni Mama wa Baba wa Taifa apunge upepo wa bahari...
 
Back
Top Bottom