Acha mikwara mbuzi itabommolewa n' nothing will happen ,ni mwendo wa kufuata sheria ya kaisari apewe kaisari na ya mungu apewe mungua hata huyo mwenye jengo anajuaMwanzo waliufyata na sasa wataufyata tena hakuna mwenye ubavu wa kugusa hiyo nyumba watapigwa na upofu
Kale kawimbo ka wache waisome namba upo wapi mniwekee kidogoNyumba ya Mchungaji Getrude Lwakatare iliyopo Kawe Beach Mtaa wa Ally Sykes imepigwa X na kuandikwa maneno "BOMOA" mchana huu.
My take: kuna watu huwa wanalalamika kuhusu huu ubomoaji ni uonevu kwa maskini. Tuache kulalamika na tufuate sheria.
Mchungaji Lwakatare sio hohehahe lakini sheria imempitia.
Source: Mimi mwenyewe.
View attachment 314008 View attachment 314009
View attachment 314010
Nyumba ya Mchungaji Getrude Lwakatare iliyopo Kawe Beach Mtaa wa Ally Sykes imepigwa X na kuandikwa maneno "BOMOA" mchana huu.
My take: kuna watu huwa wanalalamika kuhusu huu ubomoaji ni uonevu kwa maskini. Tuache kulalamika na tufuate sheria.
Mchungaji Lwakatare sio hohehahe lakini sheria imempitia.
Source: Mimi mwenyewe.
View attachment 314008 View attachment 314009
View attachment 314010
Upo sawa sawaAngalia usitoke nje ya mada kwa ushabiki usiokuwa na maana! Lengo siyo kumkomoa mama Lwakatare bali lengo ni kurudisha maeneo yaliyojengwa sehemu ambazo hazipaswi kujengwa, kama mama Lwakatare akienda akajenga mavila mengine 50 maadamu ni sehemu inayoruhusiwa hakuna atakayembughudhi na ni haki kufanya hivyo ili mradi havunji sheria za nchi!
Kweli sasa inaonekana maana ya msemo wa kiswahili usemao "SHERIA NI MSUMENO"Kale kawimbo ka wache waisome namba upo wapi mniwekee kidogo
Teh teh teh mkuu uzinduzi ulikuwaje? Watu mna vitukoHiii nyumba naikumbuka sana wakati wa uzinduzi
mkuu hii siyo nyumba,ni JUMBA,ungerekebisha kidogo hiyo title.Nyumba ya Mchungaji Getrude Lwakatare iliyopo Kawe Beach Mtaa wa Ally Sykes imepigwa X na kuandikwa maneno "BOMOA" mchana huu.
My take: kuna watu huwa wanalalamika kuhusu huu ubomoaji ni uonevu kwa maskini. Tuache kulalamika na tufuate sheria.
Mchungaji Lwakatare sio hohehahe lakini sheria imempitia.
Source: Mimi mwenyewe.
View attachment 314008 View attachment 314009
View attachment 314010
sawa mkuu nimeondoa shilingi kwa shingo upande,lakini mi limenitisha ati,inasikitisha lakini hakuna jinsi sheria ni msumeno.Sitaki mkuu...nimegoma kabisaaaa.
Atajenga vipi ilhali waumini waliokuwa wanampa sadaka wengine wamebomolewa na wengine magufuli ameziba mianya yao ya kupata pesa?siwatetei ila mchungaji atajenga nyingine sasahivi, hao wa kigogo 'polepole ndio mwendo!
Naheshimu mawazo yako lakini sijaona dondoo yoyote kwa ukisemachoKwa sababu inayovunjwa si yako unashamgilia.Vaa Viatu vya mwemzako.Wewe hapo ukivunjiwa kale ka msingi utafanyaje?Makosa yalishafanyika ,watafute njia ya kuweka miundo mbinu kwenye maeneo ya makazi hayo au waandae fidia.Walikuwa Wapi Mpaka majengo yana simama.
Q
Na mawazo kama haya ndio yametufikisha hapa tulipo.Hili zoezi la bomoa bomoa serikali sikivu ya MAGUFULI inabidi kuliangalia kwa jicho la pili kwani kila nikitafakali nayaona kwa mbali madhara makubwa yatakayosababishwa na zoezi hili........Kimsingi ni kwamba kweli wananchi wamevunja sharia lakini ubinaadamu unatakiwa uchukue nafasi kwa kuwa wale sio wanyama ni binaaadamu......
Angalia usitoke nje ya mada kwa ushabiki usiokuwa na maana! Lengo siyo kumkomoa mama Lwakatare bali lengo ni kurudisha maeneo yaliyojengwa sehemu ambazo hazipaswi kujengwa, kama mama Lwakatare akienda akajenga mavila mengine 50 maadamu ni sehemu inayoruhusiwa hakuna atakayembughudhi na ni haki kufanya hivyo ili mradi havunji sheria za nchi!