Mkereketwa
JF-Expert Member
- May 19, 2007
- 202
- 25
Wakuu salama,
Ninahitaji nyumba ya kupanga at least iwe na vyumba kuanzia viwili vya kulala, sebule, jiko choo/bafu (siyo lazima iwe na vyumba self contained), fence na parking area. Nyumba iwe maeneo ya Ubungo, Mwenge, Kimara/Mbezi na Tabata. Bei iwe kuanzia 150,000 - 200,000 itategemeana na ubora wa nyumba. Pia maeneo mengine ya Dar naweza kupanga kupanga ila tuna-negotiate kwanza.
Thanks
Ninahitaji nyumba ya kupanga at least iwe na vyumba kuanzia viwili vya kulala, sebule, jiko choo/bafu (siyo lazima iwe na vyumba self contained), fence na parking area. Nyumba iwe maeneo ya Ubungo, Mwenge, Kimara/Mbezi na Tabata. Bei iwe kuanzia 150,000 - 200,000 itategemeana na ubora wa nyumba. Pia maeneo mengine ya Dar naweza kupanga kupanga ila tuna-negotiate kwanza.
Thanks