Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,590
- 22,200
Dar hakuna wazee, ukiziweka watazigeuza gesti bubu.Habari wakuu. Naulizia nyumba ambazo wazee watu wazima wanatunzwa. Nahitaji kwenda kuwasalimia na kuwashika mkono kidogo
Dar hakuna wazee, ukiziweka watazigeuza gesti bubu.Habari wakuu. Naulizia nyumba ambazo wazee watu wazima wanatunzwa. Nahitaji kwenda kuwasalimia na kuwashika mkono kidogo
ipo kigamboni kijiji kinaitwa tungi, siyo mbali sana na darajani , kuna kambi ya wazee wa enzi na enzi nadhani tangu zama na nyerere, na pia ni kutuo cha watoto wa mtaani!Habari wakuu. Naulizia nyumba ambazo wazee watu wazima wanatunzwa. Nahitaji kwenda kuwasalimia na kuwashika mkono kidogo
Habari mpendwa,Habari wakuu. Naulizia nyumba ambazo wazee watu wazima wanatunzwa. Nahitaji kwenda kuwasalimia na kuwashika mkono kidogo
Naomba tuwasamehe wote wanaoandika kwa namna isiyopendeza. Katika hili tunaweza chuma dhambi au baraka, mwenzetu ameomba njia ya kufika kituoni, kama huijui piga kimyaa.Kuuliza kituo si kwamba watu hawatunzi wazazi wao, ni vyema vituo kama hivyo kuvifahamu na kwenda kuvitembelea na kupeleka chochote, hata mtu anavyoulizia vituo vya watoto yatima si kwamba hatunzi watoto wake. Acha kuandika msg bila kufikiri.
Asante sana mkuu wa taarifa hiiHabari mpendwa,
Heshima kwako hata kwa kukumbuka uwepo wa hili kundi maalum. Nakutia moyo, nenda kawaone. Kituo cha zamani sana ( Wazee na wenye Ukoma) kipo Kigambani, maeneo ya Vijibweni. Ukivuka kwa kutumia daraja lile la kulipia, uliza Vijibweni kituo cha kulelea wazee na wakoma. Utaonyeshwa.
Kwanini una mawazo hasi ?Unataka kwenda kuwatunza au unataka umpeleke dingi yako? Wazo lako linanipa ukakasi ina maana hapo mtaani hakuna wazee waliofulia au kwenye ukoo wako hakuna wahitaji mpaka uanze kuwatafuta kwa tochi.
ChallengeKwanini una mawazo hasi ?
Mkuu hebu kapate supu kwanza upunguze wenge.